Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kabla ya Yanga kutinga hatua ya makundi na sasa kutinga robo fainali, hoja kuu ya makolo ilikuwa ni Yanga hawawezi kimataifa isipokuwa wao tu.
Sasa baada ya Yanga kutinga hatua ya robo fainali kwenye michuano ya Shirikisho, hoja yao kubwa imekuwa hilo ni kombe la loser kanakwamba hiyo sio michuano ya kimataifa ambayo walidai Yanga haiwezi huku wao wenyewe wameshiriki mara kadhaa kwenye hiyo Michuano ya Shirkisho na safari yao kuishi njiani pamoja na kuloga (ushirikina).
Hofu yao kubwa kwa sasa ni iwapo Yanga ataingia nusu fainali wakati wao wameishia robo fainali kwani tutakuwa tumewaziba midomo ingawa hawatakosa cha kusema (watakuja na habari za mwaka 93 na nyingine za aina hiyo).
Tutarajjie hoja ya kombe la loser kushika kasi wakati wao wenyewe hawajawahi kulibeba na zaidi wanalitamani na ndio maana hata kule Bondeni walitia Taifa doa wakitafuta hilo kombe la loser.
Sasa baada ya Yanga kutinga hatua ya robo fainali kwenye michuano ya Shirikisho, hoja yao kubwa imekuwa hilo ni kombe la loser kanakwamba hiyo sio michuano ya kimataifa ambayo walidai Yanga haiwezi huku wao wenyewe wameshiriki mara kadhaa kwenye hiyo Michuano ya Shirkisho na safari yao kuishi njiani pamoja na kuloga (ushirikina).
Hofu yao kubwa kwa sasa ni iwapo Yanga ataingia nusu fainali wakati wao wameishia robo fainali kwani tutakuwa tumewaziba midomo ingawa hawatakosa cha kusema (watakuja na habari za mwaka 93 na nyingine za aina hiyo).
Tutarajjie hoja ya kombe la loser kushika kasi wakati wao wenyewe hawajawahi kulibeba na zaidi wanalitamani na ndio maana hata kule Bondeni walitia Taifa doa wakitafuta hilo kombe la loser.