Hoja: Kwanini vijana wa Kiume ndio mstari wa mbele kwenye masuala ya kubeti?

Hoja: Kwanini vijana wa Kiume ndio mstari wa mbele kwenye masuala ya kubeti?

1.Familia zetu nyingi zinaendeshwa na nguvukazi ya baba. Baba (huyo kijana wa kiume) asipojituma kupata chochote majibu unayo.
2. Kwenye jamii tunayoishi kijana wa kiume kutokuwa na pesa ni ajabu sana kuliko kijana wa kike. Ndiyo maana matukio yote ya ajabu victims ni madume.
3. Mwanamke anaweza kufanya kazi malipo ya buku 2 kwa siku akaridhika ila mwanaume hilo halipo,, inamlazimu ajifunze kumaximize kipato na kubeti ni jawabu jepesi la swali.
3 Bro huku kwenye kubeti tunapiga na kupigwa pesa vyote kwa pamoja. Hata msimu wa mvua huambatana na jua pia.
 
Naomba niulize tu Kwanini ipo hvo?

Vituo vya kamari zaidi ya asilimia 99 ni jinsia ME

Yani mtu (kijana wa Kiume) yupo serious kabisa anabeti vitu vya ajabu. Mara mbio za farasi, mpira n.k
Swali langu kwann wanaume ndio kihererehere kwenye betting sector?

Povu mwaga humu 🥛🥛
Wanaume ndio watafutaji wanawake kazi ya kupwanua mapaja tule mbususu.
 
Nilikata tamaa mpaka nilipojutana na Channel moja uko Telegram wanaitwa Alphabet2odds Alphabet 2+ sure odds
mwanzo nilijua ni matapeli ila jamaa walinifundsha mbinu muhimu sana ya kuweka odds chache na mzigo wa maana matunda niliyaona kwaio wewe mtoa mada ulitaka umkute bibi yako anabet? Au shida yako ni nini....??
 
Acha unoko mkuu,leta mkeka ODD zakushiba tuseleleke🤔
Naomba niulize tu Kwanini ipo hivyo?

Vituo vya kamari zaidi ya asilimia 99 ni jinsia ME

Yani mtu (kijana wa Kiume) yupo serious kabisa anabeti vitu vya ajabu. Mara mbio za farasi, mpira n.k

Swali langu kwanini wanaume ndio kihererehere kwenye betting sector?

Povu mwaga humu 🥛🥛
 
1.Familia zetu nyingi zinaendeshwa na nguvukazi ya baba. Baba (huyo kijana wa kiume) asipojituma kupata chochote majibu unayo.
2. Kwenye jamii tunayoishi kijana wa kiume kutokuwa na pesa ni ajabu sana kuliko kijana wa kike. Ndiyo maana matukio yote ya ajabu victims ni madume.
3. Mwanamke anaweza kufanya kazi malipo ya buku 2 kwa siku akaridhika ila mwanaume hilo halipo,, inamlazimu ajifunze kumaximize kipato na kubeti ni jawabu jepesi la swali.
3 Bro huku kwenye kubeti tunapiga na kupigwa pesa vyote kwa pamoja. Hata msimu wa mvua huambatana na jua pia.
Ooh 🤔
 
Back
Top Bottom