Hoja: Kwanini vijana wa Kiume ndio mstari wa mbele kwenye masuala ya kubeti?

1.Familia zetu nyingi zinaendeshwa na nguvukazi ya baba. Baba (huyo kijana wa kiume) asipojituma kupata chochote majibu unayo.
2. Kwenye jamii tunayoishi kijana wa kiume kutokuwa na pesa ni ajabu sana kuliko kijana wa kike. Ndiyo maana matukio yote ya ajabu victims ni madume.
3. Mwanamke anaweza kufanya kazi malipo ya buku 2 kwa siku akaridhika ila mwanaume hilo halipo,, inamlazimu ajifunze kumaximize kipato na kubeti ni jawabu jepesi la swali.
3 Bro huku kwenye kubeti tunapiga na kupigwa pesa vyote kwa pamoja. Hata msimu wa mvua huambatana na jua pia.
 
Wanaume ndio watafutaji wanawake kazi ya kupwanua mapaja tule mbususu.
 
Nilikata tamaa mpaka nilipojutana na Channel moja uko Telegram wanaitwa Alphabet2odds Alphabet 2+ sure odds
mwanzo nilijua ni matapeli ila jamaa walinifundsha mbinu muhimu sana ya kuweka odds chache na mzigo wa maana matunda niliyaona kwaio wewe mtoa mada ulitaka umkute bibi yako anabet? Au shida yako ni nini....??
 
Acha unoko mkuu,leta mkeka ODD zakushiba tuseleleke🤔
 
Ooh 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…