HOja mchanganyiko:Jay z,Rick Ross na John Legend walikuwa na maana gani hapa?

HOja mchanganyiko:Jay z,Rick Ross na John Legend walikuwa na maana gani hapa?

Haina maana.

Ngoma imetumia idea ya ufreemason ili iweze kutembea na codes zake, hivyo hata huu mstari hauna maana.

Kwanini akubali ufreemason kwenye Run This Town, On to The Next One halafu hapa akatae?
Unaakili sana mkuu, nilikuwa simkubali Jigger lakini hapa nilimnyooshea mikono kwa kutenbea na codes, Rap genius ndo niliingia na kufuatilia lyrics zao, dah Jigger ni noma, Rozay ni balaaaa huh
 
Hyo nyimbo inaitwa FREEMASON/WAJENZI HURU. One of my favourite song of AT. Kikubwa kilicho wakutanisha hawa RAIA watatu ilikuwa ki fast spreading ya maneno kwamba mason ndiyo inayowapa chapaa na siyo kipaj chao halisi. HIVYO WALIAMUA KUJIBU HUMO kwenye hyo ngoma.>>>> refers 1/RICK ROSS- Free Mason, freelancer, free agents, we faster Big contracts, big contractors Built pyramids, period wemasters 2/JAY Z-Bitch I said I was amazing Not that I’m a Mason It’s amazing that I made it through the maze that I was in Lord forgive me I never would’ve made it without sin . 3/JOHN LEGEND-Never say Legend didn't go in (Imma go in) I just wanna die on top of the world HII NYIMBO NI HATAR SANA KWA SISI WAPENDA BURUDANI ZA MBELE
 
hamna aliyekubali wala kukataa ufreemason kwenye hii ngoma.

Mwanzo Rick anaposema '..... speak in cryptic codes' ilikua ni kama reference ya Francis Bacon aliyeanza kutumia codes katika kuchana na kuleta kitu kinaitwa hidden in plain sight.
Alichomaanisha ni kua wanarap kwa codes hautaelewa mpaka ufikirishe ubongo.
Wote wamekubali mheahimiwa. Kataa kwa vigezo. Hii in moja kati ya my favourite so lazma niijue kiundani bhana
 
Wote wamekubali mheahimiwa. Kataa kwa vigezo. Hii in moja kati ya my favourite so lazma niijue kiundani bhana
Hauoni kwamba wewe ndiyo haujaweka vigezo vya kupinga vigezo vyangu?
 
Back
Top Bottom