HOJA NGUMU: Kutetea FAM kuendelea kusalia madarakani ni sawa na kukiri CHADEMA ni chama kilichosheheni vilaza

HOJA NGUMU: Kutetea FAM kuendelea kusalia madarakani ni sawa na kukiri CHADEMA ni chama kilichosheheni vilaza

Mbona haya mambo yako wazi kaka,
CDM kina affiliate programs and partners....
Wao ni Pro Western na haya mambo wao ndio msimamo wao kama westerners wanavyosema.

Katiba mpya hukumbuki ndio ilimpeleka jela?

Pro west ndiyo nini mkuu?

Weka majibu ya wazi hapa:

"Nini misimamo ya CDM ya Mbowe kuhusu Katiba Mpya, vita vya Ukraine, HAMAS, Gaza, Palestina, LGBTQ, nk?"

Je CDM Mbowe imefanya Nini kuwajulisha wananchi au hata wanachama kuwa ni yapi hapo wanayosimamia au wapi wasimame?
 
nikimwangalia huyu mnyalu yericko hadi nashangaa...kenge hizi mbowe aliokota wapi
Mkuu kuna siku tupo meeting jamaa akasimama akatoa dukuduku lake kisha akasema...."Sasa kuna kenge zingine"Haloo kuliwaka moto sio poa. Akaulizwa kwa hiyo hapa wote ni kengeze wote ila kuna kenge zingine ........Jamaa yule alikuwa mtani wangu nilichela sana kuna mdau mmoja zilikuwa haziivi lile neno akasema HR kama hamtachukulia hatua hatutawaelewa inakuwaje tutwe kenge aseee..

Umenikumbusha nime cheka sana. Aliambiwa aorodheshe majina ya hizo kenge na ambao sio kenge
 
Back
Top Bottom