stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Eheeee.
Habari nmeamua tu kukudokeza Uumbaji wa Mungu ni waajabu sana Mungu ametupa joto ambalo huwa linapungua na kuongezeka kulingana na mahali na vitu tunavyofanya. Shetani katika kutimiza malengo yake ameleta vitendea kazi ikiwepo Vipodozi vikali vya kujichubua n.k
Hivi Vipodozi vinapunguza joto la mwili na la sehem maalumu.
Lengo ni kupunguza kukidhi haja ya muhusika ili kuendelea kutafuta maridhiko kwa mtu mwingine.
Matokeo yake dhambi ya uzinzi inazidi kuongezeka, matokeo yake zinaa inazidi kuongezeka.
Mrejesho mtautoa wajuz wa mambo mliozunguka zunguka
Habari nmeamua tu kukudokeza Uumbaji wa Mungu ni waajabu sana Mungu ametupa joto ambalo huwa linapungua na kuongezeka kulingana na mahali na vitu tunavyofanya. Shetani katika kutimiza malengo yake ameleta vitendea kazi ikiwepo Vipodozi vikali vya kujichubua n.k
Hivi Vipodozi vinapunguza joto la mwili na la sehem maalumu.
Lengo ni kupunguza kukidhi haja ya muhusika ili kuendelea kutafuta maridhiko kwa mtu mwingine.
Matokeo yake dhambi ya uzinzi inazidi kuongezeka, matokeo yake zinaa inazidi kuongezeka.
Mrejesho mtautoa wajuz wa mambo mliozunguka zunguka