Hoja sio ukubwa wa tozo bali matumizi sahihi

Hoja sio ukubwa wa tozo bali matumizi sahihi

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Kuna mdau amenihoji nini msimamo wangu kuhusu hizi tozo au tuseme sakata la Tozo. Nitamjibu bila unafiki...

Mimi ni muumini wa nchi kujitegemea na kujiendesha kikamilifu kwani hiyo ndio maana kamili ya uhuru. Haiwezekani kwa miaka yote hiyo tangu uhuru tuendelee kusomeshewa,kuuguziwa,kustareheshwa na kulishwa kwa HISANI YA WATU WA MAREKANI /SWEDEN/UK/CHINA n.k.

Lazima ifike mahali tujisimamie na kujiendesha kwa asilimia 100. Utamu na uchungu wa kodi ni lazima uwe shared ....Hii ni dhana muhimu sana tunapoenda kutekeleza suala hili la ulipaji wa kodi bila kushikana shati.

Kila mmoja alipe kodi yaani tukianzia ACCASIA ,DANGOTE hadi raia wa kawaida bila the so called TAX HOLIDAYS ,sijui kuvutia wawekezaji na blah blah nyingine.

Matumizi ya kodi

Hapa ndio penye hoja muhimu la sivyo tutatovugana vidole vya macho. Kodi au tozo hii ielekezwe moja kwa moja kwenye kujenga miundombinu ya huduma za jamii NOT LESS NOT MUCH yaani ikiingia B 800 mwezi huo huo mzigo unatawanywa kwenda kujenga barabara na shule na hospitali na visima vya maji....Yaani sio zile issue za upembuzi yakinifu na uchakataji...Hapo TUTAMTOVUGA MTU!

Zaidi Huduma hii ya uhamishaji fedha iruhusiwe kwa upana katika muktadha wa ICT ....Yaani tuachane na monopoly ya makampuni ya simu tu.Turuhusu Apps mbalimbali za kukusanya ,kutunza na kusafirisha fedha.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!!!!
 
Hautujawahi kuwa na matumizi sahihi ya kodi. Viongozi wanaishi kama wako Nchi za Dunia ya Kwanza, na hawajali maisha ya mlipa kodi.
 
Tatzo sio Tozo ila Tozo ambazo zinafanAna gaharama/kiwango kwa ukarbu na gharama za mtoa huduma ambako mtoa hudum hugawanya kwa matumiz ya uendeshaji na faid kgodo
 
Hautujawahi kuwa na matumizi sahihi ya kodi. Viongozi wanaishi kama wako Nchi za Dunia ya Kwanza, na hawajali maisha ya mlipa kodi.
Hahahaha hatutafika mwezi wa 12 utaona ma Land Cruiser mapya yameanza kuzagaa mtaani! Ukigeuka ni STL huku STK maniner!

Hahahah tatizo sio tozo bali auditing ya hio account ya makusanyo! Unaweza shangaa muasisi amechota million 400 kwenye huo mfuko kwa matumizi yake binafsi na hakuna wa kuhoji! 😅😅😅 Mtapiga soga tu eeh bana jamaa kanyofoa billion 7 kifisadi kwenye huo mfuko,,, hapo watu mmeumizwa kuchangia tozo miaka mitano! Hali zinazidi kuwa mbaya tu wao wanajenga maghorofa ya biashara na mahotel na kurithishana vyeo!
 
Majizi ya kura sioni yakitumia kodi za watu vizuri.
 
Hahahaha hatutafika mwezi wa 12 utaona ma Land Cruiser mapya yameanza kuzagaa mtaani! Ukigeuka ni STL huku STK maniner!

Hahahah tatizo sio tozo bali auditing ya hio account ya makusanyo! Unaweza shangaa muasisi amechota million 400 kwenye huo mfuko kwa matumizi yake binafsi na hakuna wa kuhoji! 😅😅😅 Mtapiga soga tu eeh bana jamaa kanyofoa billion 7 kifisadi kwenye huo mfuko,,, hapo watu mmeumizwa kuchangia tozo miaka mitano! Hali zinazidi kuwa mbaya tu wao wanajenga maghorofa na mahotel na kurithishana vyeo

Utasikia mawaziri wakuu wastaafu wote wanajengewa nyumba, majaji na viongozi wa vyombo vya ulinzi wastaafu wote wanajengewa nyumba. Kisha watapewa na maVX mapya kwa utumishi uliotukuka!
 
Utasikia mawaziri wakuu wastaafu wote wanajengewa nyumba, majaji na viongozi wa vyombo vya ulinzi wastaafu wote wanajengewa nyumba. Kisha watapewa na maVX mapya kwa utumishi uliotukuka!
Nchi ina vimbwanga sana hii
 
Hahahaha hatutafika mwezi wa 12 utaona ma Land Cruiser mapya yameanza kuzagaa mtaani! Ukigeuka ni STL huku STK maniner!

Hahahah tatizo sio tozo bali auditing ya hio account ya makusanyo! Unaweza shangaa muasisi amechota million 400 kwenye huo mfuko kwa matumizi yake binafsi na hakuna wa kuhoji! 😅😅😅 Mtapiga soga tu eeh bana jamaa kanyofoa billion 7 kifisadi kwenye huo mfuko,,, hapo watu mmeumizwa kuchangia tozo miaka mitano! Hali zinazidi kuwa mbaya tu wao wanajenga maghorofa ya biashara na mahotel na kurithishana vyeo!
Tena sasa hivi kuna Toyota Land Cruiser v6, lc 300.
 
Utasikia mawaziri wakuu wastaafu wote wanajengewa nyumba, majaji na viongozi wa vyombo vya ulinzi wastaafu wote wanajengewa nyumba. Kisha watapewa na maVX mapya kwa utumishi uliotukuka!
Hilo ndio swala la kulijadili na kulidhibiti lisitokee.
Kodi hii ya tozo la miamala ikajenge kiwanda cha chanjo
 
Kuna mdau amenihoji nini msimamo wangu kuhusu hizi tozo au tuseme sakata la Tozo.Nitamjibu bila unafiki...

Mimi ni muumini wa nchi kujitegemea na kujiendesha kikamilifu kwani hiyo ndio maana kamili ya uhuru.
Haiwezekani kwa miaka yote hiyo tangu uhuru tuendelee kusomeshewa,kuuguzuwa,kustareheshwa na kulishwa kwa HISANI YA WATU WA MAREKANI /SWEDEN/UK/CHINA n.k
Lazima ifike mahali tujisimamie na kujiendesha kwa asilimia 100.

Utamu na uchungu wa kodi ni lazima uwe shared ....Hii ni dhana muhimu sana tunappenda kutekeleza suala hili la ulipaji wa kodi bila kushikana shati.
Kila mmoja alipe kodi yaani tukianzia ACCASIA ,DANGOTE hadi raia wa kawaida bila the so called TAX HOLIDAYS ,sijui kuvutia wawekezaji na blah blah nyingine.

Matumizi ya kodi
Hapa ndio penye hoja muhimu la sivyo tutatovugana videlo vya macho .
Kodi au tozo hii ielekezwe moja kwa moja kwenye kujenga miundombinu ya huduma za jamii NOT LESS NOT MUCH yaani ikiingia B800 mwezi huo huo mzigo unatawanywa kwenda kujenga barabara na shule na hospitali na visima vya maji....Yaani sio zile issue za upembuzi yakinifu na uchakataji...Hapo TUTAMTOVUGA MTU!!

Zaidi Huduma hii ya uhamishaji fedha iruhusiwe kwa upana katika miktadha wa ICT.Yaani tuachane na monopoly ya makampuni ya simu tu.yuruhusu Apps mbalimbali za kukusanya ,kutunza na kusafirisha fedha .


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!!!!

Hii inaitwa chawa transformation. jingalao sasa hivi ni muumini wa chanjo pia. Huyu keshajua awamu ya tano kwishney anajifunza majina mapya:


Kumbuka chawa lake ni kuunga mkono na kupamba hata liwe la kijinga.


Hiiiiii bagosha!
 
Hilo ndio swala la kulijadili na kulidhibiti lisitokee.
Kodi hii ya tozo la miamala ikajenge kiwanda cha chanjo
Unalidhibiti kwa nguvu gani walizonazo wananchi? Mbona marais wastaafu wamejengewa mahekalu wakati wanafunzi wanakaa chini.
 
Serikali imechukua hatua gani kupunguza matumizi yasiyo na lazima? Mimi shida yangu iko kwenye haya magari makubwa V8 ambayo yanatumika kwa wingi sana kwa viongozi wote wa serikali na taasisi za umma.

V8 inatakiwa ziachwe kwa matumizi ya Rais, VC na PM tu,huku nao pia wakipunguza ukubwa wa misafara yao. Hawa viongozi wengine inatakiwa watumie 4 cylinder (double cabin, SUV's) kwa ajili ya shughuli zao za kiserikali.

Jambo lingine ni kwamba inatakiwa watumishi wanaotumia magari ya serikali basi wayatumie kwa kazi hizo tu sio matumizi binafsi. Mawaziri wasisafiri na misafara,mbio za mwenge zisitishwe for good. Hatukua na mbio za mwenge mwaka jana na nchi iko poa tu.

Wabunge,mawaziri nao walipe kodi kwenye posho na mishahara yao kama wananchi wa kawaida, pia serikali isihusike na kugharamia makazi ya viongozi wa taasisi za umma pamoja na idara nyingine. Mishahara na posho wanazopata vinatosha kuwafanya wajitafutie makazi bora.

Wananchi tunahitaji tax incentives za kutuwezesha kupunguza mzigo wa kodi na tozo nyingine za kiserikali ili uchumi uweze kukua kwa kasi. Wakulima wanahitaji pembejeo zishuke bei ili waweze kuongeza uzalishaji. Bahati mbaya viongozi ni kama wanaishi dunia tofauti na wananchi wa kawaida,wao wanajua kuongeza mzigo wa kodi na tozo tu bila kuangalia athari zake kiuchumi. We are doomed
 
Hii inaitwa chawa transformation. jingalao sasa hivi ni muumini wa chanjo pia. Huyu keshajua awamu ya tano kwishney anajifunza majina mapya:


Kumbuka chawa lake ni kuunga mkono na kupamba hata liwe la kijinga.


Hiiiiii bagosha!
Mimi ni muumini wa Chanjo itakayotengenezwa Tanzania.
Dunderhead
 
Unalidhibiti kwa nguvu gani walizonazo wananchi? Mbona marais wastaafu wamejengewa mahekalu wakati wanafunzi wanakaa chini.
Hata Rais mstaafu aliwahi kukaa chini na kutembea peku.
Mahekalu yatajengwa na madarasa yatajengeka.
Hayati Rais Magufuli alifanya haya kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom