Hoja sio ukubwa wa tozo bali matumizi sahihi

Hata Rais mstaafu aliwahi kukaa chini na kutembea peku.
Mahekalu yatajengwa na madarasa yatajengeka.
Hayati Rais Magufuli alifanya haya kwa pamoja.

Aliyafanya haya yote au alipiga propaganda kuwa ameyafanya yote? Au unadhani hatukuwa tunaona watoto wanaokaa chini huko madarasani? Kulikuwa na haja gani ya kuwajengea wastaafu mahekalu, wakati hawana uhitaji huo kama sio kusaka sifa za kijinga, huku wanafunzi wanakaa chini?
 
Kwani hapo ufipa mliwahi kufanya nn ili wananchi wafaidike[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kabisa mkuu
 
[emoji1][emoji1] baada ya kuwaamsha wengine mkalala nyinyi
Thubutu, sisi si ndio wale yule kiongozi dhalimu aliagiza tupige risasi, kutubambikia kesi, kututeka na kupiga marufuku kukutana na wananchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…