Ile rangi inatuchelewesha ni kiza tu hatuoni tunaoenda ni bora iondolewe,halafu tusidanganyane watanzania sio weusi wa kuifikia rangi ile nyeusi iliyopo kwenye Bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Tanzania tupo weusi lakini hatujawafikiwa wa South Sudani wala baadhi ya wahindi waishio India.
Tanzania tupo weusi lakini hatujawafikiwa wa South Sudani wala baadhi ya wahindi waishio India.