Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
jaman
udhi tayar
udhi tayar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huelekezwa namna ya kupamba.Kwa sababu kijani na njano zimechukuliwa na CCM.
Jipake mkorogo tu inatosha.Ile rangi inatuchelewesha ni kiza tu hatuoni tunaoenda ni bora iondolewe,halafu tusidanganyane watanzania sio weusi wa kuifikia rangi ile nyeusi iliyopo kwenye Bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Tanzania tupo weusi lakini hatujawafikiwa wa South Sudani wala baadhi ya wahindi waishio India.
Ushajichungulia rangi ya kalio lako?nani aliekwambia bangi mbaya una tatizo la kuingia kanisani bila ya kuweka nia.
hata hio njano inawezekana nayo ikaondolewa ,ila madini ipo yanatoa nuru ambapo ndani yake inapatikana hio njano,Ila inapofafanuliwa maana ya kuwepo rangi nyeusi eti ndio rangi ya Watanzania,huwa nababaika na kujiangalia mara mbilimbili.