nani aliekwambia bangi mbaya una tatizo la kuingia kanisani bila ya kuweka nia.
hata hio njano inawezekana nayo ikaondolewa ,ila madini ipo yanatoa nuru ambapo ndani yake inapatikana hio njano,Ila inapofafanuliwa maana ya kuwepo rangi nyeusi eti ndio rangi ya Watanzania,huwa nababaika na kujiangalia mara mbilimbili.