Dotto Biteko ameituliza sana wizara ya nishati iliyokuwa imeharibiwa vibaya kwa ufisadi na January Makamba. Foleni za kugombea mafuta hazionekani tena pia upatikanaji wa umeme umeimarika mno.
Kama kuwa na wajomba nje ya nchi ni kosa hata Rais Samia ana wajomba Dubai na amewagawia bandari zote za Tanganyika.
Hizi hoja , ukifiria kwa undani sana, unajua tu kuwa, zinatoka kwa kipara. Inaonekana kipara kwa, sasa ana muogopa, sana Doto kwenye ushindani anaoufikiria.
Kwanza kipara, hana uwezo mkubwa wa kufikiri. Uwezo wake ni kama wa mzee wake mmoja ambaye alishawahi kuwa, Rais.Mzee Tabasamu.
Nimemuhusisha kipara na huu mchezo wa kumchafua Doto kwa kwa sababu hizi:Moja Doto alifanya kazi nzuri sana ya bwawa na kipara alifeli.Na ameendelea kuwa bora kwenye utendaji wake,akiwa naibu wazir mkuu.
Pili,Doto kuwa naibu wazir mkuu, hilo kipara, hakulitaka kwa kuwa aliutaka sana uwazir mkuu.Na kuna muda hapa katikati,Kassim alichafuliwa sana. Ila,mama alikuwa na misimamo.
Tatu:Tabia ya kuchafua watu, pia anayo Mr tabasamu ambaye , ndiye mshauri mkuu wa, kipara. Tuliona hiyo mwaka 2005 akimchafua Dr Salim Ahmed Salim kuwa sio raia.
Aidha, uchambuzi wangu , unanionyesha kuwa, msingi wa matamshi ya mkuu wa, majeshi kuhusu uraia wa viongoz ulitoka kwa Mr Tabasamu. Kwani Mr Tabasamu pia hakupendezwa na uteuzi wa Doto kuwa naibu wazir mkuu kwani inatishia nafasi ya kipara , kule anapofikiria.
Duru za kumbukumbu za, hotuba ya mwalimu zinaonyesha kuwa mwalimu hakupenda wala kupendezwa kuwaita baadhi ya watu kuwa sio raia. Mwalimu alisema, wananchi wote, wa Tanzania wametoka sehemu mbalimbali, akiwemo yeye mwalimu ambaye kabira yake ina asili ya Rwanda. Na wao kuitwa wazanaki, waliitwa na wajita, wakimaanisha waliokuja na nn. Watu wenye asili ya Tanzania kabisa ni wagogo.Wengi wametoka sehemu nyingi za Africa.
Mwisho, Kipara na Tabasamu watafute hoja nyingine, hii wamekosea.