Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Natoa hoja kuwa Vyama vya mpira vya nchi za East African Community vipeleke bid yao ya kuandaa mashindano ya FIFA World Cup 2030. Hiyo ni miaka 12 ijayo, ikiwa ni miaka 20 baada ya mashindano hayo kufanyika Afrika; hivyo watakuwa na nafasi kubwa ya kushinda kwa vile mabara yote mengine yatakuwa yameshaandaa mashindano hayo. Iwapo nchi kubwa kubwa kama Tanzania, Kenya na Uganda vitaandaa viwanja vitatu vitatu, na nchi ndogo za Rwanda na Burundi zikaandaa viwanja viwili viliwi, kutakuwa na viwanja 13 vinavyotosha sana kuandaa mashindano hayo. Afrika ya kusini ilikuwa na viwanja 10 wakati Urusi na Brazili waliandaa kwa viwanja 12.
FAIDA za kuandaa mashindano hayo katika ukanda huu zitakuwa ni nyingi sana na zitadumu muda mrefu sana hasa ukizigantia uzuri wa vivutio vyetu vya utalii!
FAIDA za kuandaa mashindano hayo katika ukanda huu zitakuwa ni nyingi sana na zitadumu muda mrefu sana hasa ukizigantia uzuri wa vivutio vyetu vya utalii!