mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Polepole kasema haoni thamani ya fedhha (value for money) kwenye pesa ya kununulia chanjo. Hakuna aliyejitokeza kutetea thamani ya fecha inayonunulia chanjo ya corona isiyo na uwezo wa kumlinda mtu hata kwa miezi 6 tu
Hoja ya Polepole ni hii; Bei ya chanjo ni Tsh 51,000/=. Watanzania tuko milioni 60. Kwa sasa watalaam wanasema herd immunity inafikiwa iwapk asilimia 70 watachanjwa!
Kwa hiyo lazima watanzania 42,000,000 wachanjwe!! Kwa hiho pesa inayohitajika ni sn 51,000/= × 42,000,000 = 2,142,000,000,000/= yaani trilioni 2.142.
Lakini hakuna mtu antakayewsza kjkuambia kwa uhakika hiyo iliyotugharimu trilioni mbili na ushee itatukinga kwa muda gani?
Waliotangulia kuchomwa hiyo chanjo haikuweza kuwakinga hata kwa miezi sita na wakachomwa nyingine!! Pia hiyo ya pili haikuwakinga na sasa Marekani wanaambiwa wachomwe ya tatu!
Baada ya hapo wawe wanachomwa boosters!! Hapo thamani ya fedha iko wapi?
Halafu unaingia gharama yote hiyo kwa ugonjwa wa mafua ambao wanaougua hupona kwa asilimia 98%!
Hoja ya Polepole ni hii; Bei ya chanjo ni Tsh 51,000/=. Watanzania tuko milioni 60. Kwa sasa watalaam wanasema herd immunity inafikiwa iwapk asilimia 70 watachanjwa!
Kwa hiyo lazima watanzania 42,000,000 wachanjwe!! Kwa hiho pesa inayohitajika ni sn 51,000/= × 42,000,000 = 2,142,000,000,000/= yaani trilioni 2.142.
Lakini hakuna mtu antakayewsza kjkuambia kwa uhakika hiyo iliyotugharimu trilioni mbili na ushee itatukinga kwa muda gani?
Waliotangulia kuchomwa hiyo chanjo haikuweza kuwakinga hata kwa miezi sita na wakachomwa nyingine!! Pia hiyo ya pili haikuwakinga na sasa Marekani wanaambiwa wachomwe ya tatu!
Baada ya hapo wawe wanachomwa boosters!! Hapo thamani ya fedha iko wapi?
Halafu unaingia gharama yote hiyo kwa ugonjwa wa mafua ambao wanaougua hupona kwa asilimia 98%!