Hizi ni hoja mfu, potofu kabisa, purely theoretical..
Hadi sasa ni watu karibu laki 4 tu wamechanjwa.. Mostly, serikali ikijitahidi, watachanjwa watu mil 1 au 1.5 tu haiwezi zidi hapo, sbb kuna hiari, hiari hii inamfanya mtu yeyote asichanje au achanje, yaani ni uhuru wako tu.
So haiwezi fikia milele hiyo idadi Polepole anayosema. Huyo polepole naona anatafuta kufukuzwa CCM haraka sana.
Naona anazidi kuichonoa serikali ya Mama Samia, ila naamini, 2025 asahau ubunge au nafasi yoyote, his time in CCM or Government was over, ila naona hataki kukubali au kuelewa hilo, anapambana tu. Bahati mbaya, huwezi shindana na Mh. Rais.