Kuna upeo gani sasa hapo? Siye tuna kazi ya kukosoa tu kwa nini tusije na ya kwetu? Wengine wafikiri wewe unasubiri uwakosoe huyo Polepole kasomea wapi hiyo elimu ya kipekee wanayo yeye na Gwajima tuu!! Mnasema Marekani sijui wanachoma chanjo ya tatu unafikiri kazi kisayansi ni maneno tu! Wenzenu wanastruggle kupata ufanisi nyie mnabeza!! Kumbuka dawa ya maleria aina ya fansidar unakumbuka wangapi walipata madhara? Wapo wengine walibabuka ngozi mpaka leo na maleria ipo duniani kwa miaka mingapi???Ndivyo akili inavyotakiwa kufikiria. Ni upeo wa kina. Nasubiri jibu.
Hujajua hoja ya Polepole!! Hoja ni kwamba nikitumia gharama kubwa kiasi hi ho kwa ajili ya chanjo, je nani ananipa uhakika kuwa nitakuwa nimekingwa kwa muda gani? Kama natumia matrillioni ya shilingi halafu kinga haidumu hata mwaka mmoja na nihitaji kutumia matrilioni ya sh tena hapo ndipo Polepole haoni thamani ya pesa!! Hakuna anayeweza kutoa uhakika wa kukingwa na corona hata kwa miezi 3 tu, sasa nachanjwa kwa gharama kubwa hivyo ili iweje?Kwa hesabu za ROBOT, Polepole, wakiugua watu million kumi halafu wakafa watu laki mbili basi sikitu! (... yaani hata kuwakumbuka wahanga wa MV BUKOBA kwa Polepole ni upuuzi!)
... HALAFU ROBOT HILI LINAFUNDISHA UONGOZI WA BINAADAM! ... ONLY IN TZ!
Lengo la serikali unajua ni kuchanja watu wangapi au unajisemea tu. Hivi haukusikia kuwa serikali ina mpango wa kuleta chanjo 15,000,0000? Tatizo ni kuwa uko nyuma ya wakati!Hizi ni hoja mfu, potofu kabisa, purely theoretical..
Hadi sasa ni watu karibu laki 4 tu wamechanjwa.. Mostly, serikali ikijitahidi, watachanjwa watu mil 1 au 1.5 tu haiwezi zidi hapo, sbb kuna hiari, hiari hii inamfanya mtu yeyote asichanje au achanje, yaani ni uhuru wako tu.
So haiwezi fikia milele hiyo idadi Polepole anayosema. Huyo polepole naona anatafuta kufukuzwa CCM haraka sana.
Naona anazidi kuichonoa serikali ya Mama Samia, ila naamini, 2025 asahau ubunge au nafasi yoyote, his time in CCM or Government was over, ila naona hataki kukubali au kuelewa hilo, anapambana tu. Bahati mbaya, huwezi shindana na Mh. Rais.
Ukikosoa toa na suluhisho. Hakuna kitu cha msingi kama afya kwa taifa, sio kitu cha kufanyia kamari. Pesa itatafutwa tu na sio uhai. Dhana yake ni kwamba watu wafe mpaka pale atakapo ridhika yeye kwamba chanjo inafaa.Hujajua hoja ya Polepole!! Hoja ni kwamba nikitumia gharama kubwa kiasi hi ho kwa ajili ya chanjo, je nani ananipa uhakika kuwa nitakuwa nimekingwa kwa muda gani? Kama natumia matrillioni ya shilingi halafu kinga haidumu hata mwaka mmoja na nihitaji kutumia matrilioni ya sh tena hapo ndipo Polepole haoni thamani ya pesa!! Hakuna anayeweza kutoa uhakika wa kukingwa na corona hata kwa miezi 3 tu, sasa nachanjwa kwa gharama kubwa hivyo ili iweje?
Nimemuelewa sana tu! ... yaani korona iachwe tu ichukue inaoweza bila juhudi yeyote!Hujajua hoja ya Polepole!! Hoja ni kwamba nikitumia gharama kubwa kiasi hi ho kwa ajili ya chanjo, je nani ananipa uhakika kuwa nitakuwa nimekingwa kwa muda gani? Kama natumia matrillioni ya shilingi halafu kinga haidumu hata mwaka mmoja na nihitaji kutumia matrilioni ya sh tena hapo ndipo Polepole haoni thamani ya pesa!! Hakuna anayeweza kutoa uhakika wa kukingwa na corona hata kwa miezi 3 tu, sasa nachanjwa kwa gharama kubwa hivyo ili iweje?
Exactly, yani watu wafe tuu ili yeye adhibitishe theory zake.Nimemuelewa sana tu! ... yaani korona iachwe tu ichukue inaoweza bila juhudi yeyote!
PATHETICALLY PATHETIC!
... same as the NAZI policy of terminating the lives of the weaklings!
Tangu magu aondoke alitaka nae atoke sema hawajamshtukia na akitoka ccm unavuliwa nguo balaa labda wamuue maana hutu ni mtikila wa piliPolepole anatakiwa afukuzwe haraka
Ndiyo maanake 😃Unamaanisha tumepigwa tena mchana kweupe?
Not true, hata wewe ukiwekwa na CCM unakuwa RaisSamia ni mweupe kichwani, 2025 CCM wakimuweka yeye wajue wanaandaa anguko lao.
Simba day inakuja!Hadi leo tarehe 8/9/2021 kwa mujibu wa takwimu rasmi jumla ya waliowahi kuambukizwa virusi vya corona ni 222,812,592. Waliodaiwa kufa kwa corona ni 4,601,142. Kwa hiyo waliodaiwa kufa kwa corona ni asilimia 2.065% tu. Kwa takwimu hizo covid 19 haimo katika orodha ya magonjwa 10 yanayoongoza kwa kuua hata huko marekani inakopigiwa debe sana corona!!
Kitakachotokea mabeberu wanatufanya tena watumwa!! Hata tukifanya kazi kwa bidii namna gani, kipato chote kitaenda kwao kwa kugharimia "mapambano" dhidi ya ugonjwa hewa!!! Fikiri kidogo tu!! Watanzania tunavyobanana kwenye dala dala bila barakoa!! Tumekimbiza mwenge na mikesha ya mwenge wengi hawana barakoa!! Kwenye mipira tunabanana bila barakoa,, ingekuwa covid 19 ni ugonjwa halisi si tungekwisha!! Inauma sana!!
Kwanza athari za covid 19 ni kuwa kiuchumi kuliko hta kiafya. investor confidence ikishuka kwamba Tz haiwezi kuhandle matatizo ya ndani then tegemea uchumi kushrink maana wawekezaji wataikwepa TZ.Ukisema almost 40% ni watoto, unasahau hii nchi population kubwa ni vijana ambao survival rate ni 98%.
Kama ni hivyo kuna haja gani ya kupambana na ugonjwa huu ambao kwa nchi yetu bado mortality rate ni ndogo kulinganisha na malaria.
Hivi Zitto umekumbwa na nini siku hizi!!??Title inasema value for money and hoja yangu imejikita hapo sasa ujinga unatka wapi?
Unasema madhara ni below 1% nimekuuliza unajua value for money inayopotea hta kwa hyo 1% wanaofariki au kuugua?? Unajua biashara ngapi zimekufa tokea Covid 19 iwepo hta kma waliougua Tz ni below 1%? Unajua export/import value ngapi zimepotea??
Unasema tufikiri kwa namna yetu? Unadhani suluhu ni ipi kwa mfano? Maana naona lawama tu kwa mzungu ila ukiulizwa chanjo ngapi mmeshatengeneza hapa TZ kumaliza Covid 19 hauna jibu? Mbona china na russia wana zao? Umeona wananunua za mabeberu??
Tusijione tuna akili sana kuliko hta WHO!! ilihali unaowaita mabeberu ndio wamekupa hta hyo smartphone unayotumia kukashifu.