Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Mwalimu Kitila Anasema Kwamba
Mapambano ya katiba mpya hayapaswi kuongozwa na wanasiasa, yanapaswa kuongozwa na Civil societies.
Ikitokea mfano mchakato ukiwa umeshikiliwa na ChademaTz,mimi kama mwana CCM siwezi kuunga mkono kwa sababu intially ntakuwa suspicious kwamba wanataka kunitoa madarakani.
Nadhani Hoja ya KITILA IPO SAHIHI KABISA LAKINI HAINA APPLICABILITY KWA SASA.
Mapambano ya katiba mpya hayapaswi kuongozwa na wanasiasa, yanapaswa kuongozwa na Civil societies.
Ikitokea mfano mchakato ukiwa umeshikiliwa na ChademaTz,mimi kama mwana CCM siwezi kuunga mkono kwa sababu intially ntakuwa suspicious kwamba wanataka kunitoa madarakani.
Nadhani Hoja ya KITILA IPO SAHIHI KABISA LAKINI HAINA APPLICABILITY KWA SASA.