Sami Omary Khamis
Member
- Sep 8, 2020
- 67
- 133
Hoja ya kuwa Mgombea Wetu Rais Magufuli anapendelea Chato hazina Mashiko :-
1. Ikulu ya Chamwino -ni Chato?
2. Hospital za Rufaa za Kanda Mtwara na Mara ni Chato?
3. Reli SGR-inafika Chato?
4.Bwawa Kubwa la Kuzalisha Umeme liko Chato?
5. Flyover -Ziko Chato?
6. Cherezo za Meli-ziko Chato?
7. Hifadhi ya Wanyama ya Chato eneo kubwa lipo Kagera -Nayo ni Chato?
8. Meli ya MV Victoria na vivuko ziwa Nyasa -Vinafika Chato?
9. Elimu bure -ni kwa Chato tu?
10. Mama Ntilie, Machinga na bodaboda wasiosumbuliwa ni wa Chato tu?
11. Umeme wa REA ni vijiji vya Chato tu?
12. Rada za kuongoza ndege zipo Dar,Mwanza na Mbeya -Nazo ni Chato?
13. Ndege mpya 11 nazo ni za Watu wa Chato?
14. Mradi wa Barabara za Kuzunguka Mji Dodoma (Ring road) - Nayo ni Chato?
16. Ujenzi wa Mji wa kiserikali Dodoma -Nayo ni Chato?
17. Ujenzi wa hospital kila wilaya -nayo ni Chato?
18. Ujenzi wa Barabara kiwango cha Lami kuunganisha mikoa ya Katavi, Tabora na Rukwa -Nayo ni Chato?
19. Ujenzi wa flyover ya Salender -Coco beach -Nayo ni Chato?
20. Ujenzi wa Daraja la kigongo ferry -Nayo ni Chato?
21. Ufufuaji wa Reli kutoka Dar -Arusha na Moshi-Nayo ni Chato?
22. Ujenzi wa Barabara za lami ndani ya makao makuu za mikoa yote! Nayo ni Chato?
23. Mradi wa Uwanja mkubwa wa ndege Msalato Dodoma -Nayo ni Chato?
24. Mradi mkubwa wa Maji -Ruvu -Nayo ni Chato?
25. Daraja la mto Wami kwenda mikoa ya Kaskazini -Nayo ni Chato?
26. Upanuzi wa Bandari za DSM na Mtwara -Nayo ni Chato?
27. Ujenzi wa bomba la Mafuta ghafi -Hoima hadi Tanga -Nayo ni Chato?
Iko Miradi chungu nzima inayotekelezwa nje ya Wilaya ya Chato unaweza ongezea. Itoshe tu kusema Mheshimiwa Rais hana cha kulaumiwa. Hawa watu hawachelewi kuuliza mbona CORONA haiui watu wa Chato!!
Nitamsemea Rais wangu, Rais wetu mpendwa Dr JPM , nitamuombea usiku na mchana ili wenye wivu wasijinyonge bali waelewe.
Kura yangu nitampa.
1. Ikulu ya Chamwino -ni Chato?
2. Hospital za Rufaa za Kanda Mtwara na Mara ni Chato?
3. Reli SGR-inafika Chato?
4.Bwawa Kubwa la Kuzalisha Umeme liko Chato?
5. Flyover -Ziko Chato?
6. Cherezo za Meli-ziko Chato?
7. Hifadhi ya Wanyama ya Chato eneo kubwa lipo Kagera -Nayo ni Chato?
8. Meli ya MV Victoria na vivuko ziwa Nyasa -Vinafika Chato?
9. Elimu bure -ni kwa Chato tu?
10. Mama Ntilie, Machinga na bodaboda wasiosumbuliwa ni wa Chato tu?
11. Umeme wa REA ni vijiji vya Chato tu?
12. Rada za kuongoza ndege zipo Dar,Mwanza na Mbeya -Nazo ni Chato?
13. Ndege mpya 11 nazo ni za Watu wa Chato?
14. Mradi wa Barabara za Kuzunguka Mji Dodoma (Ring road) - Nayo ni Chato?
16. Ujenzi wa Mji wa kiserikali Dodoma -Nayo ni Chato?
17. Ujenzi wa hospital kila wilaya -nayo ni Chato?
18. Ujenzi wa Barabara kiwango cha Lami kuunganisha mikoa ya Katavi, Tabora na Rukwa -Nayo ni Chato?
19. Ujenzi wa flyover ya Salender -Coco beach -Nayo ni Chato?
20. Ujenzi wa Daraja la kigongo ferry -Nayo ni Chato?
21. Ufufuaji wa Reli kutoka Dar -Arusha na Moshi-Nayo ni Chato?
22. Ujenzi wa Barabara za lami ndani ya makao makuu za mikoa yote! Nayo ni Chato?
23. Mradi wa Uwanja mkubwa wa ndege Msalato Dodoma -Nayo ni Chato?
24. Mradi mkubwa wa Maji -Ruvu -Nayo ni Chato?
25. Daraja la mto Wami kwenda mikoa ya Kaskazini -Nayo ni Chato?
26. Upanuzi wa Bandari za DSM na Mtwara -Nayo ni Chato?
27. Ujenzi wa bomba la Mafuta ghafi -Hoima hadi Tanga -Nayo ni Chato?
Iko Miradi chungu nzima inayotekelezwa nje ya Wilaya ya Chato unaweza ongezea. Itoshe tu kusema Mheshimiwa Rais hana cha kulaumiwa. Hawa watu hawachelewi kuuliza mbona CORONA haiui watu wa Chato!!
Nitamsemea Rais wangu, Rais wetu mpendwa Dr JPM , nitamuombea usiku na mchana ili wenye wivu wasijinyonge bali waelewe.
Kura yangu nitampa.