Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Mbunge wa Hai alikuwa anashinda Chako ni chako Dodoma. Alishau kuwatumikia wananchi.Sawa tupe na list ya miradi iliyofanyika Chato tulinganishe na iliyifanyika Wilaya ya Hai
Sasa kama mbunge alikuwa anakula bata Dubai na Dodoma kuna miradi itafanyika?Nipe list ya miradi iliyofangika Hai. Au serikali haikusanyi kodi Hai?