Hoja ya kuwa Rais Magufuli anapendelea Chato haina mashiko

Lakini hili la uwanja Chato,hapana,hapana hapana!
Ni matumizi mabaya ya kodi za watanzania!
Tuwe wakweli,mteja wa uwanja huo ni JPM mwenyewe!
mwanzo pia na mimi niliamini hivyo lakini ikabidi nijiongeze kidogo kwanini Chato:-
  1. wanasiasa wasituyumbushe sana ukweli katka wilaya za mkoa wa Geita wilaya ya chato imekaa vizuri zaidi kwa uwekezaji na fursa silizopo na hasa ukiliangalia ziwa kama lango linalofungua mkoa
  2. hivyo italipa siku moja kuliko eneo lingine kwa mkoa huo
  3. mkoa mzima una idadi ya watu 1,739,530 na ukubwa wa eneo la mraba 20,054 lenye wilaya tano ukilinganisha na eneo la 49,437 la mkoa wa singida lililogawanywa kwa wilaya sita na watu 1,370,637 lakini geita ni mkoa tajiri zaidi ukiulinganisha na Singida
  4. Kwa sababu chache tu uwekezaji wa chato utakuwa na manufaa sk zijazo.
 
Mbunge wa Hai alikuwa anashinda Chako ni chako Dodoma. Alishau kuwatumikia wananchi.

Sasa kama mbunge alikuwa anakula bata Dubai na Dodoma kuna miradi itafanyika?

Bado haujajibu ulicho ulizwa na uache kuhamisha Magoli ,Mbunge hakusanyi Kodi hajengi Barabara hajengi Madaraja.Jibu ulicho ulizwa kwanza.
 
Lissu amewaweza sana.... hii topic ya Airport Chato mlikuwa mnaifukia fukia... sasa mmechokonolewa kama pweza
 
usimpe kura tu mpe ni t.go kbs, by the way umenifurahisha hapo uliposema "hifadhi ya Chato sehemu kubwa ipo upande wa Kagera"...hapohapo ukasahau ikiwa sehemu kubwa ipo upande wa Biharamulo kwann jina la hifadhi lipewe eneo lenye upande mdogo yaani Chato?!.

chato chato chatooo
 
[

Hapo kajisahau kabisa kuwa pana element za upendeleo...
 
Bado haujajibu ulicho ulizwa na uache kuhamisha Magoli ,Mbunge hakusanyi Kodi hajengi Barabara hajengi Madaraja.Jibu ulicho ulizwa kwanza.
Jibu lipo wazi kama mbunge haombi miradi ya kutatua kero za wananchi wake. Alafu anashinda Chako ni chako Dom. Unategemea nini?
 
Kosa ni kujenga uwanja mkubwa wa kimataifa kijijini anakuzaliwa, unaonaje na Kikwete angejenga uwanja wa kimataifa Msoga? Na ukabila umezidi sana kwa baba huyu.
 
Uwanja wa chato anatua yeye mwenyewe kwahiyo hakuna mapato yeyote,huo uwanja kajijengea yeye binafsi ingekua umejengwa geita mjini hapo ingekua sawa
 
Ni vyema umfikishie na madai ya watumishi, mafao yao katika mifuko ya hifadhi ya jamii amekopa ndizo anazoita fedha za ndani akijengea miradi huku wastaafu wanakufa na stress na njaa

Anapanga akirudi madarakani aendelee kupitisha sheria zinazowabana zaidi watunishi sababu hatakuwa na kigezo cha kumbana tena
 
Nendeni mkajidili tena mje na utetezi mwingine
 
Wera weraaaaa.....
Ngoja tumwambie Lissu apige zaidi spana aisee...... Watu wanaweweseka tu kwa sasa

PIGA SPANA BABAAAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…