#COVID19 Hoja ya Polepole na hoja ya Gwajima juu ya chanjo ya Covid-19

Kuhusu chanjo, Gwajboy anauoigwa mwingi,
Na serikali ya ccm isibinye Uhuru wa kujieleza kuhusiana na Jambo hili!
 
Na ndio walikua washauri wakuu wa mwendazake. Misimamo yao inafanana
 
Badala ya kujibu hoja zao, hata kama mnaziita dhaifu…. mmechagua kuwafunga midomo.!
Binafsi sioni haja ya ku support malumbano yao tangia swala la chanjo ni hiari ya mtu sasa kwann mjifanye hodari wa kubishana ? Asietaka na anaetaka .
 
Unaweza pata ugonjwa na ukaonyesha dalili au usionyeshe. Ila mara nyingi tunachukulia asiye na dalili hana ugonjwa. Ndiyo maana asiye na dalili si lazima kupima kwanza.
Na unaweza ukapima ikaonekana huna ugonjwa kumbe upo.
 

Swala la kuwekewa Oxygen kuna ndugu yangu kule Njombe aliumwa akashindwa kupumua, baadae akawekewa Oxygen kwa siku kadhaa. Akapona, kurudi mtaani akaanza kuumwa tena kushindwa kupumua. Baada ya muda akafariki(R.I.P), na hiyo ilikua ni mwaka 2017 kabla ya Corona hii.
Kwa hiyo watu kuewekewa mitungi ya Oxygen au kuumwa magonjwa kama hayo yalikuwepo kabla ya ujio wa UVIKO-19.
 

Hata hii inayoitwa kuchanja ni hiari ni bomu tunatengeneza. Kirus kitakua hakiishi na kila wakati itakuja new Strain/ variant na kuleta kizaazaa. Kwa kweli Mungu atunusuri kisi mutate na kuleta strain mpya ambazo zitasababisha madhara makubwa.
Kimsingi kuchanjwa kungefanywa ni Mandatory.
 

Kama mtu alichanjwa wakati ana vimelea vya virus, maana hakuna sharti la kupima kabla ya chanjo, je kama baadae kwa board immune system virus watakufa, je chanjo itakuwepo au itakua imekufa, na kwa nn?
 
Ni vp maambukizi yanapungua kwa hizo nchi kuwa hizo nchi zilizochanja watu wengi?

Ingia WHO statistcs, huko Ulaya ni kama hawana habari tena na Covid-19, wamejitahidi kuidhibiti na kwa sasa viwanja hujaa sana kwa sababu Corona siyo tishio kubwa tena
 
Acha ujinga, huyu hakuwa mgonjwa, alichomwa kama chanjo, akaendelea na kazi kama wiki tatu zilizopita!
Juzi wiki ilopita ghafla ndo alianza kuonyesha dalili za corona, akapelekwa Hosp. Akabanwa mbavu, akazidiwa, akawekewa oksjen baadae akafariki!

Na alizikwa kwa tahadhari zote za covid hivyo haijulikan chanjo ilifeli wapi
 
Ingia WHO statistcs, huko Ulaya ni kama hawana habari tena na Covid-19, wamejitahidi kuidhibiti na kwa sasa viwanja hujaa sana kwa sababu Corona siyo tishio kubwa tena
Sawa mkuu ila nilichokiuliza umekielewa?
 
Mkuu haya unayoeleza umeyapata wapi kama huko kusema kwamba aliyechanjwa si rahisi kupata maambukizi na kuambukiza?
 
Ingia WHO statistcs, huko Ulaya ni kama hawana habari tena na Covid-19, wamejitahidi kuidhibiti na kwa sasa viwanja hujaa sana kwa sababu Corona siyo tishio kubwa tena
Ushahidi wa nguvu ya chanjo upo wazi kabisa.
 
Ndungu leta hoja yako nasio kusema haina mashiko for what?
Nikuulize wewe unaelewa nini huu ya chanjo?
Then Red Giant ....
Nikukumvushe chanjo sio Tiba wala suluhisho ya kufukuza covid na kwamba hutaambukizwa.
Unaeza chanja zaidi ya awam moja for how?
Unaposema suruhisho ni kuchanja leta hoja yenye ushawishi
So what's solution ....

Yaaani kirusi kinabadilika kwahiyo unataka kusema kirusi hicho kinakuwa kama kinyonga come back

 
Nakubaliana na wewe ila pia tykumbuke..Gwiji boy alipata ubunge kifavour..hali kadhalika Polex2. Hawakuwahi kuwa maarufu ktk siasa kwa nguvu zao...hivyo mi naona hapa tunatafuta kick kwa kupandia mahali ambapo watu wengi walijengewa hofu tangu enzi za Jiwe...sasa wanajaribu kuwadaka wawe waumini wa siasa zao. Haya ni maoni yangu tu!
 
Hii haiondoi usalama wa chanjo,
 
Chanjo kuwa ya muda na sio ya kudumu sio jambo jipya . Kila mwaka wazungu wanachanjwa flu shot mpya kwani virusi wa flu wanabadilika kila Mara kiasi chanjo ya zamani haifanyi kazi. Ni aibu kwa viongozi kama hawa waliopewa dhamana kushindwa kuongoza watu kwenye maamuzi sahihi kwa maisha yao.
 
So far chanjeni ili ikitokea hamjawa zombies ni sawa tu Ila mkiwa zombies tuwatunzie familia zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…