Hao wabunge walikanwa na CHADEMA. Sasa kama CHADEMA imedai haikuwateua kuwakilisha CHADEMA swala la kufukuzwa siyo lazima liwe sababu kuu ya Ndugai kutowaondoa. Siyo kazi ya Ndugai kutafsiri katiba ya CHADEMA. Ndugai siyo mwanachama wa CHADEMA na haitii katiba ya CHADEMA.