hermanthegreat JF-Expert Member Joined Mar 2, 2021 Posts 1,274 Reaction score 3,282 Sep 27, 2023 #1 Sitaki kukubaliana na Tanesco eti kwamba awamu ya sita Kuna ongezeko la shughuli za kiuchumi hadi kupelekea upungufu wa umeme.
Sitaki kukubaliana na Tanesco eti kwamba awamu ya sita Kuna ongezeko la shughuli za kiuchumi hadi kupelekea upungufu wa umeme.
ChoiceVariable JF-Expert Member Joined May 23, 2017 Posts 66,537 Reaction score 75,687 Sep 27, 2023 #2 hermanthegreat said: Sitaki kukubaliana na Tanesco eti kwamba awamu ya sita Kuna ongezeko la shughuli za kiuchumi hadi kupelekea upungufu wa umemeView attachment 2764272 Click to expand... Wewe unapinga nini Sasa? Kwa hiyo demand ni ndogo au?
hermanthegreat said: Sitaki kukubaliana na Tanesco eti kwamba awamu ya sita Kuna ongezeko la shughuli za kiuchumi hadi kupelekea upungufu wa umemeView attachment 2764272 Click to expand... Wewe unapinga nini Sasa? Kwa hiyo demand ni ndogo au?
nsanzu JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 4,673 Reaction score 5,402 Sep 27, 2023 #3 Ukiwa na wataalam wenye ufinyu wa kutafuta majibu, mara zote huja na majibu ya namna hiyo
Kangosha Member Joined Sep 18, 2023 Posts 52 Reaction score 135 Sep 27, 2023 #4 hermanthegreat said: Sitaki kukubaliana na Tanesco eti kwamba awamu ya sita Kuna ongezeko la shughuli za kiuchumi hadi kupelekea upungufu wa umeme. View attachment 2764272 Click to expand... Tupe mchanganuo wa matumizi ya Umeme kwa mwaka 2020,2021,2022 na 2023 ili tujue nani mkweli.
hermanthegreat said: Sitaki kukubaliana na Tanesco eti kwamba awamu ya sita Kuna ongezeko la shughuli za kiuchumi hadi kupelekea upungufu wa umeme. View attachment 2764272 Click to expand... Tupe mchanganuo wa matumizi ya Umeme kwa mwaka 2020,2021,2022 na 2023 ili tujue nani mkweli.
Kadhi Mkuu 1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2015 Posts 19,687 Reaction score 23,689 Sep 27, 2023 #5 ChoiceVariable said: Wewe unapinga nini Sasa? Kwa hiyo demand ni ndogo au? Click to expand... Wewe ndo useme unapinga nini, MD mpya kasema hakuna maji ya kutosha kwenye mabwawa.
ChoiceVariable said: Wewe unapinga nini Sasa? Kwa hiyo demand ni ndogo au? Click to expand... Wewe ndo useme unapinga nini, MD mpya kasema hakuna maji ya kutosha kwenye mabwawa.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Sep 28, 2023 #6 Siyo kweli, mambo ya serikali ndivyo yalivyo...