Unajua nimesikiliza waziri Saada Mkuya akihojiwa star TV kuhusu kushuka kwa shilingi kwa dola, alijibu hivi "Ni kweli imeshuka kwa dola, lakini pia tumepanda dhidi ya fedha nyingine kama yenu ya Japan nk." Sasa lugha kama hii inaweza kumfanya mzito kuelewa akatuliza boli.
Lakini ukweli hakuna afadhali yoyote, kwa sababu hata hayo magari ya Japan hayauzwi kwa Yen bali dola, lazima wagande nasi, dollar ni gold standard global middle player in money transaction, halafu wanatuamishia Yen, dinar nk. Ni wangapi wanaonunua Yen hapa nchini au kuagiza kwa Yen nje, zaidi ya wajapan wanaojiuza kimadafu wakizisahau kwenye briefcase zao wanapokuja, watafute njia za kuvuna external currency kwa bidhaa zetu.
Lakini ukweli hakuna afadhali yoyote, kwa sababu hata hayo magari ya Japan hayauzwi kwa Yen bali dola, lazima wagande nasi, dollar ni gold standard global middle player in money transaction, halafu wanatuamishia Yen, dinar nk. Ni wangapi wanaonunua Yen hapa nchini au kuagiza kwa Yen nje, zaidi ya wajapan wanaojiuza kimadafu wakizisahau kwenye briefcase zao wanapokuja, watafute njia za kuvuna external currency kwa bidhaa zetu.