Hoja yangu kuhusu Lengai Ole Sabaya aliyekuwa DC wa Hai

Yan namchukia huyu fala katutesa sana wananchi
 
Moderator naomba muunganishe hizi thread za haina hii zipo nyingi sana wanatujazia server tu
 
Asee one night mbele tu bei gani?
 

We ni mpumbavu
 

Za uporaji kutumia silaha je?
 

Study yako umeifanya wapi, lini na tupe sample size !!
Hizo guest na hotels alizokuwa anavamia wewe ulikuwa mfagiaji lkn tajiri ??
 
 
Ogopa sana mtu anajifanya kuwapigania wanyonge....
Ile ni geresha tu ili wayafanye yao

Ova
 
We subiri uwanja ufunguliwe uone tuhuma dhidi ya jambazi huyu zitakavyomiminika.
 
Andika yako unaonyesha wewe ni Pro-Sabaya.
kama huwezi kuona uovu wa huyu mwanaharamu basi wewe ni mtu mjinga mno.
Ungekuwa timamu ungelaani kwanza matendo ya huyu mshezi.
 
Kazana kumsafisha ila hasafishiki. Urais ni taasisi kubwa kuliko taasisi yoyote. Ujue mama ana taarifa zote na pia ni mpenda haki ndo maana kaagizi uchunguzi ufanyike ili ashitakiwe
 
Hivi kumbe huyu kijana alikuwa kifaranga mpumbavu.
 
Mbona kuna wakuu wa wilaya kibao na walikua hawafanyi upumbavu kama wa huyo taahira
Nlienda clouds akajiandalia maswali na wale wapumbavu wakawa wanamuuliza anajimwaga humo . Ukisikiliza kwa makini yale mahojiano utajua yule kijana ni mpumbavu na aliyemteua kuwa DC naye ni mpumbavu kwelikweli
 
Malizieni vihela vyake vya mwisho mwisho.. mumkombe vilivyo. Ndio dawa ya walioingia mjini kwa pupa a.k.a washamba wa mji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…