Hoja yangu kwa HESLB

Hoja yangu kwa HESLB

sir imma

Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
75
Reaction score
7
Kwanza nimshukuru Mungu kwa kunipatia bahati ya kupata Mkopo toka HESLB.Ila naungana na ndugu zangu walokosa.Wagegawa 50% kwa wote wenye sifa za kupata mikopo.Isipokuwa Madaktari wangepata 70% ili tugawane wote na zingne tuchagie wenyewe.MTAZAMO TU.
 
Kwanza nimshukuru Mungu kwa kunipatia bahati ya kupata Mkopo toka HESLB.Ila naungana na ndugu zangu walokosa.Wagegawa 50% kwa wote wenye sifa za kupata mikopo.Isipokuwa Madaktari wangepata 70% ili tugawane wote na zingne tuchagie wenyewe.MTAZAMO TU.

Wale ambao ni continuing walio omba kwa mara ya kwanza watajuaje wamepata mkopo? Niko njia panda nisaidieni wajameni
 
Wale ambao ni continuing walio omba kwa mara ya kwanza watajuaje wamepata mkopo? Niko njia panda nisaidieni wajameni

Hilo swali liliulizwa leo pale bodi na wakasema kuwa majina ya wanafunzi walioomba mkopo ambao wapo mwaka wa pili majina yao yatatoka so soon
 
Kaka unachowaza na kufikiri ndicho nilichowaza mim, sio kumpa mtu 100%
 
kweli kabisa,,ukiwa na watoto kumi,,,una unga kilo moja,,unachofanya ni kupika uji,,ambao utawatosha wote,lakini ukipika ugali,,,na ukikatakata,,utawatosha watatu!watoto saba watakosa,,,,sasa serikali na bodi ya mikopo,,,ipo pale ili kuakikisha kila mtu au mwanafunzi anatimiza ndoto yake,,sasa ya nin kuwanyima wengine?viongozi wote nchi hii wamesoma bule wakati wa baba wa Taifa,,leo kwa kuwa wao na watoto wao wanasoma bila shida,,,wanatuletea ubaguzi,,,wengine wanakosa mikopo,,,wanaona kawaida tu,,,awasemi kitu,,,This is Tanzania.hatali sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Hilo swali liliulizwa leo
pale bodi na wakasema kuwa majina ya wanafunzi walioomba mkopo ambao
wapo mwaka wa pili majina yao yatatoka so soon


are u serious? maana kwa kweli watakua wamitukatili vibaya coz hawasemi chochote kuhusu mwaka wa pili so cjui hatma yangu up to nw
 
Wale ambao ni continuing walio omba kwa mara ya kwanza watajuaje wamepata mkopo? Niko njia panda nisaidieni wajameni
Majina huwa wanayatuma vyuoni,baada ya chuo husika kufunguliwa.
 
Back
Top Bottom