Hoja Yangu Leo: Lazima Timu ya Simba ifanye Usajili wa Golikipa

Acha waendelee kuwa na wadaka panzi tu na saiz wameongeza mkata viuno Zena
 
We hujui soka na hata Falsafa za Walimu huzijui. Wako wapi Akina Hussein Javu, Bahanuzi, Malimi Busungu, Paul Nonga, Emmanuel Martin nk nk ambao waliiingia wakiwa fire wakatoka wakiwa mfu kisoka. Tuache ushabiki tuwaachie walimu kazi yao.
Tatizo hawa kandambili wanajisahaulisha sana Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We hujui soka na hata Falsafa za Walimu huzijui. Wako wapi Akina Hussein Javu, Bahanuzi, Malimi Busungu, Paul Nonga, Emmanuel Martin nk nk ambao waliiingia wakiwa fire wakatoka wakiwa mfu kisoka. Tuache ushabiki tuwaachie walimu kazi yao.
Akina Dan Serunkuma wako wapi. Alikuwa on fire akiwa Kenya. Simba kiwango kikafa. Sasa yupo vizuri tena kwao Uganda.
 
Tatizo ni pale unapomweka mtu benchi hadi anapoteza confidence na ability. Na hata Salamba watamuua hivyo hivyo kwa kumbania nafasi ilhali kuna boya mmoja,mcheza hovyo (John Bocco) anapendelewa kupitiliza.
Una maanisha John Boko! Pamoja na madhaifu yake ,hakuna kocha mwenye akili timamu anaweza thubutu kumwacha
 
yule beki wa kulia kweli alitoka Ivory cost au ujanja ujanjanja wa mjini? mbona lizito vileee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…