#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima kuhusu chanjo ya Corona hazina mashiko, isipokuwa zina agenda nyingine nyuma yake

#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima kuhusu chanjo ya Corona hazina mashiko, isipokuwa zina agenda nyingine nyuma yake

✳️HOJA ZA ASKOFU GWAJIMA KUHUSU CHANJO YA CORONA HAZINA MASHIKO(ZINA MAPUNGUFU MENGI), ISIPOKUWA ZINA AGENDA NYINGINE NYUMA YAKE

🔵Na:Shujaa©️®️Ⓜ️

Leo nimeona mjadala mkubwa unao-trend kwenye mitandao yote ya kijamii kuhusu hoja za Askofu Gwajima kuhusu CHANJO YA CORONA ambayo akishauri watanzania wote watumie hiyari Yao kukataa CHANJO hiyo ya Corona kwasababu mbalimbali alizozitoa ambazo ndizo nimeziona zina mapungufu makubwa na hazina tija, na pia nimeona maoni watanzania wengi wakimpongeza kwa ujasiri wake wa kuwa kinyume na msimamo wa serikali yake na Chama chake

Ukimsiliza vizuri na kwa makini Askofu Gwajima utaziona hoja zake Zote zimebase Katika maeneo 4

1️⃣ Anadai HAKUNA research(study) za kutosha zinazoonyesha kuwa Chanjo hii ya Corona inaweza kuwa salama kabisa kwa miaka 3 au 4 au 10 ijayo baadae hasa inapoingia Katika DNA na RNA za binadamu Yaani Anadai HAKUNA reaserch Kama Chanjo Ina madhara au la!

Anadai hao watu watakaochanjwa watakuwa Nini baaadae na kwa vizazi vyao, kwamba huenda ikasababisha miaka ya baaadae au vizazi vijavyo ikatuletea madhara ya makubwa ya watu kukosa akili,Kuwa mazezeta au Misukule(Mazombie)

Hatimaye Anadai kwa kukubali Chanjo hizo hasa kwa makundi matano ambayo yamewekwa Kama makundi ya ulazima kuchanjwa yaani makundi ya ulinzi na usalama,Madaktari,Viongozi wa dini n.k kuwa TUNAWEZA kuwapoteza hao wetu wa muhimu Katika taifa na kuliacha Taifa kutokuwa salama Katika Ulinzi,Afya na Usalama kwa ujumla was maliasili zetu

2️⃣ Anadai kwa uwazi kabisa kuwa wanasayansi wetu wote wamekula hela Yaani wamepewa rushwa ya hela ili watoe ripoti za uongo kwa watanzania Ili wakubali kuchanjwa Hiyo Chanjo ya Corona!!

Maanake hata kamati iliyoundwa na serikali kuchunguza juu ya ubora na uhalali wa Chanjo hii ya Corona inayoitwa Jonhson Jonhson(JJ) kuwa hao wote wamepewa rushwa ili tu kupitisha chanjo hii

3️⃣ Ni Kama anaishutumu Serikali ya CCM ya Mama Samia Suluhu iliyopo madarakani kwamba imeshinikizwa na mataifa ya dunia au na wazungu ili kukubali Chanjo isiyo salama iingie nchini akidai kuwa ndio wazungu Wana Nia yao chafu ndio maana wanatupatia Chanjo hizi Bure na kwa kutupa misaada ya Bure kwasababu Anadai kuwa serikali imeshinikizwa kuwafanyia majaribio watanzania zaidi ya milion 60

Anadai Africa NI bara linalotamaniwa Sana na wazungu kwasababu ya rasilimali zetu, Ndio maana wanaruhusu tuletewe Chanjo ya JJ ambayo siyo Kama waliyochanjwa wamarekani au Kama waliyochanjwa Waingereza akidai ile chemical content inayotumika huko sio hii inayotumika kwetu!Hivyo ndio maana ana mashaka na Chanjo hii

4️⃣ NI Kama Pia anaishutumu Serikali yake ya CCM inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan !Kwani anahoji Kwanini baada tu ya Magufuli kufa ndio swala la Corona limeanza kupewa Nguvu na uzito mkubwa?Wakati kabla ya Kufa kwa magufuli Tulifanya kampeni salama,hatukuvaa barakoa,Tulimuaga magufuli kwenye msiba wake tukiwa kwa maelfu? Hivyo anahoji mbona magufuli alipinga hii Chanjo Ila mbona sasa hili swala limepewa uzito?

Hizo ndizo hoja za Askofu Gwajima ambazo wengi kwa kutotumia akili kufikiri wameingia Katika mkumbo wa kupongeza tu.Ila nami naomba nimuhoji Mambo machache au tutafakari nami Mambo machache ambayo yatatufanya kuona kuwa hoja hizi za Gwajima hazina maana Wala Msingi na Pili zina agenda NYINGINE NYUMA YAKE

🔜 KWANZA, NI muhimu kujua Utafiti unapingwa na Utafiti kinzani, Hoja inapingwa na hoja!Hivyo unavyoleta hoja ya kudai hakuna utafiti wa kutosha kuwa Chanjo iliyoletwa sio salama kwetu, ulipaswa wewe utupe ni utafiti gani uliokuthibitishia wewe au ulioufanya au uliofanywa kuwa kilicholetwa sio salama na kwamba kinaweza kuleta madhara ya watu kuwa vichaa,mazezeta au kushindwa kuzaa Viumbe wenye akili?

PILI Kwanini uwaze Negative tu Yaani madhara mabaya tutakayoweza kuyapata kwa kukubali kuchanjwa Chanjo hii ya Corona ikiwa Kama Ina madhara? Kwanini usiwaze au kufikiri what if ikiwa Haina madhara na wengi wao wamekataa,NI Nini kitakachowapata au kitakachozaliwa kwa kukataa Hiyo chanjo,maana amesema Hana uhakika(Possibility)?

Hivyo kwa namna ile ile ambavyo Hauna uhakika wa scientific research juu ya madhara ya chanjo Hiyo kwa mtu kwamba inaharibu Gene(tabia )zake ndivyo Hivyo Hivyo watu wanaweza wakapatwa madhara zaidi ikiwa kweli Hiyo Chanjo itafanya kazi vizuri,waliokataa ndio watadhurika zaidi!

🔜TATU NI akili ndogo na za kijinga Sana na za kimaskini kufikiri kwamba eti wazungu wametutengenezeshea Chanjo waafrica ili kutuua, kudumaza akili zetu,Kutufanya mazezeta au vichaa,Kuharibu vizazi vyetu vya baadae, kutaka kutuibia rasilimali zetu kupitia hii Chanjo ya Corona

Hata Kama una akili ndogo tu Kama Mimi ebu tutafakari tu jambo Moja!Hapo kwetu Africa au Hapa Tanzania ni vitu vingapi, au bidhaa ngapi au madawa gani ambayo tunayatengeneza sisi wenyewe wazawa wa nchi? Utapata Jibu kuwa karibia 80% ya bidhaa au vitu tunavyotumia Zote zimetoka kwa hao wazungu,vyote vimetengenezwa na hao hao wazungu ambao leo ndio unawaza kuwa wanataka kukufanya zezeta eti kwasababu ya Corona?

Madawa karibu yote tunayotumia yametoka kwa wazungu, Kama kuchanjwa tumechanjwa Chanjo nyingi Sana tangu utotoni (Chanjo ya polia,Surua,ndui) ambazo zimetoka kwa hao hao wazungu ambao leo tunawahofia

Kama NI hofu ya kudukuliwa,Sisi Tanzania tunatumia Google au Email au Network ambazo server zake zipo huko huko kwa wazungu!Hivi Kama wangetaka kutuibia na kutufilisi wangeshindwa kufanya Hivyo?Au kwamba Corona ndio imefanya washtuke kwamba waafrika wapo wengi Hivyo wanahitaji kutupunguza kwa Kutumia Chanjo?Kuwa Hivyo au kufikiri Hivyo inaonyesha una mawazo ya kimaskini na NI mawazo ya kitoto

Wakuue wewe leo kwasababu ya nini?Kwanini wasingekuua Jana? Shirika la Afya la WHO na mengine mengi ndio limekuwa likitumika kuidhinisha Chanjo hizo na ndio yameendelea kufanya study nyingi mbalimbali duniani kulitia wanasayansi mbalimbali kuhalikisha janga hili linapungua Kama si kutokomezwa!!

Hivyo kuwa na mashaka na wanasayansi wako ambao siku Zote ndio wamekuwa wakikuhudumia na kukupatia Dawa NI sawa kujitekenya mwenyewe alafu ukacheka mwenyewe

NNE Kwa Askofu mkubwa Kama Gwajima kusimama hadharani na kuishutumu serikali yake na ya chama chake CCM kuwa eti imeunda kamati ya wana sayansi ya kutafiti Hiyo Chanjo ya Corona ya JJ ambayo Anadai wanasayansi wote hao wamepewa hela Yaani Rushwa ili kuleta ripoti ya uongo kwa watanzania!!!Kuleta taharuki na shutuma nzito Kama hizo dhidi ya serikali NI Kosa kubwa Sana ambalo inapaswa hata afikishwe mahakani na ahojiwe ili athibitishe hao wanasayansi NI Nani na wapi na shilingapi wamepewa ili walete tafiti za uongo zitakazotupa kuhatarisha usalama wa watanzania wote mil 60.

NI makosa makubwa Sana kwa Askofu Gwajima kumshutumu Rais wa Nchi Samia Suluhu Hassan kuwa anayoyafanya anayafanya kwasababu ya presha ya mataifa makubwa ya dunia.Yaani anaona sio akili zake!Mbaya zaidi anampambanua Raisi Samia na Hayati Magufuli na kumuona Rais Samia amekosea Sana kulieleza taifa juu ya wimbi hatari la tatu la Corona kwa kuwaonya watu kuchukua tahadhari Zote ikiwa pamoja na Kutumia Chanjo ya Corona.

Anachofanya Askofu Gwajima mbele ya watanzania NI kujaribu kuwachonganisha watanzania na Raisi wao Samia Suluhu Hassan ambao wengi wao waliona njia alizokuwa anatumia Hayati Raisi Magufuli kuwa ndio sahihi.Hivyo anataka kuwaaminisha watanzania wamuone Raisi Samia kuwa ni mbaya na ndiye anatumiwa na mabeberu Kama alivyokuwa anaeleza mtangulizi wake na anachofanya NI kuleta uchonganishi wa wazi.

Lazima tufahamu Raisi Magufuli sio Mungu na sio kipimo Cha usahihi wetu, Na sio lazima kilichokuwa sahihi Jana basi hata leo kinaweza kuwa sahihi!Yapo makosa mengi sana ambayo Rais Magufuli aliyafanya yaliyolisababishia Taifa kuwa kwenye Hali nzito, pamoja na kwamba pia Kuna mazuri mengine aliyafanya katika maamuzi yake ya namna ya kushughulika na Corona kwa Wakati wake ambayo kwa Wakati huu hatupaswi Kutumia approach zile zile

Niseme wazi ndugu zangu watanzania, mtu asiwadanganye CORONA IPO na watu wanakufa Kama Kuku wenye mdondo! Usiwe shabiki tu wa mtandaoni na kuwasikiliza Hawa Wana siasa akina Gwajima anawatia Moyo Kuona Corona Haina Nguvu na haipo.Toka huku mitandaoni ebu zunguka kwenye hospitali kadhaa za rufaa unazozijua Kama upo kwenye majiji makubwa alafu ufanye utafiti wako!Utakuta hospitali zimeshona na wagonjwa was Corona wanaongezeka kila kicha na wanakufa kwa namna isiyo ya kawaida-...

Nimeona nieleze hayo kwa ufupi, ili usichukuliwe tu na maneno ya kisiasa yanayoletwa kutokea madhabahuni kwa Jina la Yesu Lakini hayana Mungu ndani yake.Katika makala nyingine nitaeleza sababu za kiroho kinyume na anazoeleza Askofu Gwajima,Sababu za Kiimani na yapi tunayopaswa kuyafanya Kama Kweli sisi ni watu wa Mungu?Je kutojilinda na kuvaa barakoa NI kukosa imani?Usikose....Asante kwa kufuatilia

🔵Na:Shujaa Charles Richard Mwaisemba(©️®️Ⓜ️)

stmwaisembac@gmail.com

0712054498/0759420202
Binafsi yangu, bado kidooogo kuiamini hiyo chanjo iliyotiliwa mashaka na pia kumwamini kajima lkn AMANI ya MOYO wangu ikiamua nitachanja saaana tu.
 
✳️HOJA ZA ASKOFU GWAJIMA KUHUSU CHANJO YA CORONA HAZINA MASHIKO(ZINA MAPUNGUFU MENGI), ISIPOKUWA ZINA AGENDA NYINGINE NYUMA YAKE

🔵Na:Shujaa©️®️Ⓜ️

Leo nimeona mjadala mkubwa unao-trend kwenye mitandao yote ya kijamii kuhusu hoja za Askofu Gwajima kuhusu CHANJO YA CORONA ambayo akishauri watanzania wote watumie hiyari Yao kukataa CHANJO hiyo ya Corona kwasababu mbalimbali alizozitoa ambazo ndizo nimeziona zina mapungufu makubwa na hazina tija, na pia nimeona maoni watanzania wengi wakimpongeza kwa ujasiri wake wa kuwa kinyume na msimamo wa serikali yake na Chama chake

Ukimsiliza vizuri na kwa makini Askofu Gwajima utaziona hoja zake Zote zimebase Katika maeneo 4

1️⃣ Anadai HAKUNA research(study) za kutosha zinazoonyesha kuwa Chanjo hii ya Corona inaweza kuwa salama kabisa kwa miaka 3 au 4 au 10 ijayo baadae hasa inapoingia Katika DNA na RNA za binadamu Yaani Anadai HAKUNA reaserch Kama Chanjo Ina madhara au la!

Anadai hao watu watakaochanjwa watakuwa Nini baaadae na kwa vizazi vyao, kwamba huenda ikasababisha miaka ya baaadae au vizazi vijavyo ikatuletea madhara ya makubwa ya watu kukosa akili,Kuwa mazezeta au Misukule(Mazombie)

Hatimaye Anadai kwa kukubali Chanjo hizo hasa kwa makundi matano ambayo yamewekwa Kama makundi ya ulazima kuchanjwa yaani makundi ya ulinzi na usalama,Madaktari,Viongozi wa dini n.k kuwa TUNAWEZA kuwapoteza hao wetu wa muhimu Katika taifa na kuliacha Taifa kutokuwa salama Katika Ulinzi,Afya na Usalama kwa ujumla was maliasili zetu

2️⃣ Anadai kwa uwazi kabisa kuwa wanasayansi wetu wote wamekula hela Yaani wamepewa rushwa ya hela ili watoe ripoti za uongo kwa watanzania Ili wakubali kuchanjwa Hiyo Chanjo ya Corona!!

Maanake hata kamati iliyoundwa na serikali kuchunguza juu ya ubora na uhalali wa Chanjo hii ya Corona inayoitwa Jonhson Jonhson(JJ) kuwa hao wote wamepewa rushwa ili tu kupitisha chanjo hii

3️⃣ Ni Kama anaishutumu Serikali ya CCM ya Mama Samia Suluhu iliyopo madarakani kwamba imeshinikizwa na mataifa ya dunia au na wazungu ili kukubali Chanjo isiyo salama iingie nchini akidai kuwa ndio wazungu Wana Nia yao chafu ndio maana wanatupatia Chanjo hizi Bure na kwa kutupa misaada ya Bure kwasababu Anadai kuwa serikali imeshinikizwa kuwafanyia majaribio watanzania zaidi ya milion 60

Anadai Africa NI bara linalotamaniwa Sana na wazungu kwasababu ya rasilimali zetu, Ndio maana wanaruhusu tuletewe Chanjo ya JJ ambayo siyo Kama waliyochanjwa wamarekani au Kama waliyochanjwa Waingereza akidai ile chemical content inayotumika huko sio hii inayotumika kwetu!Hivyo ndio maana ana mashaka na Chanjo hii

4️⃣ NI Kama Pia anaishutumu Serikali yake ya CCM inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan !Kwani anahoji Kwanini baada tu ya Magufuli kufa ndio swala la Corona limeanza kupewa Nguvu na uzito mkubwa?Wakati kabla ya Kufa kwa magufuli Tulifanya kampeni salama,hatukuvaa barakoa,Tulimuaga magufuli kwenye msiba wake tukiwa kwa maelfu? Hivyo anahoji mbona magufuli alipinga hii Chanjo Ila mbona sasa hili swala limepewa uzito?

Hizo ndizo hoja za Askofu Gwajima ambazo wengi kwa kutotumia akili kufikiri wameingia Katika mkumbo wa kupongeza tu.Ila nami naomba nimuhoji Mambo machache au tutafakari nami Mambo machache ambayo yatatufanya kuona kuwa hoja hizi za Gwajima hazina maana Wala Msingi na Pili zina agenda NYINGINE NYUMA YAKE

🔜 KWANZA, NI muhimu kujua Utafiti unapingwa na Utafiti kinzani, Hoja inapingwa na hoja!Hivyo unavyoleta hoja ya kudai hakuna utafiti wa kutosha kuwa Chanjo iliyoletwa sio salama kwetu, ulipaswa wewe utupe ni utafiti gani uliokuthibitishia wewe au ulioufanya au uliofanywa kuwa kilicholetwa sio salama na kwamba kinaweza kuleta madhara ya watu kuwa vichaa,mazezeta au kushindwa kuzaa Viumbe wenye akili?

PILI Kwanini uwaze Negative tu Yaani madhara mabaya tutakayoweza kuyapata kwa kukubali kuchanjwa Chanjo hii ya Corona ikiwa Kama Ina madhara? Kwanini usiwaze au kufikiri what if ikiwa Haina madhara na wengi wao wamekataa,NI Nini kitakachowapata au kitakachozaliwa kwa kukataa Hiyo chanjo,maana amesema Hana uhakika(Possibility)?

Hivyo kwa namna ile ile ambavyo Hauna uhakika wa scientific research juu ya madhara ya chanjo Hiyo kwa mtu kwamba inaharibu Gene(tabia )zake ndivyo Hivyo Hivyo watu wanaweza wakapatwa madhara zaidi ikiwa kweli Hiyo Chanjo itafanya kazi vizuri,waliokataa ndio watadhurika zaidi!

🔜TATU NI akili ndogo na za kijinga Sana na za kimaskini kufikiri kwamba eti wazungu wametutengenezeshea Chanjo waafrica ili kutuua, kudumaza akili zetu,Kutufanya mazezeta au vichaa,Kuharibu vizazi vyetu vya baadae, kutaka kutuibia rasilimali zetu kupitia hii Chanjo ya Corona

Hata Kama una akili ndogo tu Kama Mimi ebu tutafakari tu jambo Moja!Hapo kwetu Africa au Hapa Tanzania ni vitu vingapi, au bidhaa ngapi au madawa gani ambayo tunayatengeneza sisi wenyewe wazawa wa nchi? Utapata Jibu kuwa karibia 80% ya bidhaa au vitu tunavyotumia Zote zimetoka kwa hao wazungu,vyote vimetengenezwa na hao hao wazungu ambao leo ndio unawaza kuwa wanataka kukufanya zezeta eti kwasababu ya Corona?

Madawa karibu yote tunayotumia yametoka kwa wazungu, Kama kuchanjwa tumechanjwa Chanjo nyingi Sana tangu utotoni (Chanjo ya polia,Surua,ndui) ambazo zimetoka kwa hao hao wazungu ambao leo tunawahofia

Kama NI hofu ya kudukuliwa,Sisi Tanzania tunatumia Google au Email au Network ambazo server zake zipo huko huko kwa wazungu!Hivi Kama wangetaka kutuibia na kutufilisi wangeshindwa kufanya Hivyo?Au kwamba Corona ndio imefanya washtuke kwamba waafrika wapo wengi Hivyo wanahitaji kutupunguza kwa Kutumia Chanjo?Kuwa Hivyo au kufikiri Hivyo inaonyesha una mawazo ya kimaskini na NI mawazo ya kitoto

Wakuue wewe leo kwasababu ya nini?Kwanini wasingekuua Jana? Shirika la Afya la WHO na mengine mengi ndio limekuwa likitumika kuidhinisha Chanjo hizo na ndio yameendelea kufanya study nyingi mbalimbali duniani kulitia wanasayansi mbalimbali kuhalikisha janga hili linapungua Kama si kutokomezwa!!

Hivyo kuwa na mashaka na wanasayansi wako ambao siku Zote ndio wamekuwa wakikuhudumia na kukupatia Dawa NI sawa kujitekenya mwenyewe alafu ukacheka mwenyewe

NNE Kwa Askofu mkubwa Kama Gwajima kusimama hadharani na kuishutumu serikali yake na ya chama chake CCM kuwa eti imeunda kamati ya wana sayansi ya kutafiti Hiyo Chanjo ya Corona ya JJ ambayo Anadai wanasayansi wote hao wamepewa hela Yaani Rushwa ili kuleta ripoti ya uongo kwa watanzania!!!Kuleta taharuki na shutuma nzito Kama hizo dhidi ya serikali NI Kosa kubwa Sana ambalo inapaswa hata afikishwe mahakani na ahojiwe ili athibitishe hao wanasayansi NI Nani na wapi na shilingapi wamepewa ili walete tafiti za uongo zitakazotupa kuhatarisha usalama wa watanzania wote mil 60.

NI makosa makubwa Sana kwa Askofu Gwajima kumshutumu Rais wa Nchi Samia Suluhu Hassan kuwa anayoyafanya anayafanya kwasababu ya presha ya mataifa makubwa ya dunia.Yaani anaona sio akili zake!Mbaya zaidi anampambanua Raisi Samia na Hayati Magufuli na kumuona Rais Samia amekosea Sana kulieleza taifa juu ya wimbi hatari la tatu la Corona kwa kuwaonya watu kuchukua tahadhari Zote ikiwa pamoja na Kutumia Chanjo ya Corona.

Anachofanya Askofu Gwajima mbele ya watanzania NI kujaribu kuwachonganisha watanzania na Raisi wao Samia Suluhu Hassan ambao wengi wao waliona njia alizokuwa anatumia Hayati Raisi Magufuli kuwa ndio sahihi.Hivyo anataka kuwaaminisha watanzania wamuone Raisi Samia kuwa ni mbaya na ndiye anatumiwa na mabeberu Kama alivyokuwa anaeleza mtangulizi wake na anachofanya NI kuleta uchonganishi wa wazi.

Lazima tufahamu Raisi Magufuli sio Mungu na sio kipimo Cha usahihi wetu, Na sio lazima kilichokuwa sahihi Jana basi hata leo kinaweza kuwa sahihi!Yapo makosa mengi sana ambayo Rais Magufuli aliyafanya yaliyolisababishia Taifa kuwa kwenye Hali nzito, pamoja na kwamba pia Kuna mazuri mengine aliyafanya katika maamuzi yake ya namna ya kushughulika na Corona kwa Wakati wake ambayo kwa Wakati huu hatupaswi Kutumia approach zile zile

Niseme wazi ndugu zangu watanzania, mtu asiwadanganye CORONA IPO na watu wanakufa Kama Kuku wenye mdondo! Usiwe shabiki tu wa mtandaoni na kuwasikiliza Hawa Wana siasa akina Gwajima anawatia Moyo Kuona Corona Haina Nguvu na haipo.Toka huku mitandaoni ebu zunguka kwenye hospitali kadhaa za rufaa unazozijua Kama upo kwenye majiji makubwa alafu ufanye utafiti wako!Utakuta hospitali zimeshona na wagonjwa was Corona wanaongezeka kila kicha na wanakufa kwa namna isiyo ya kawaida-...

Nimeona nieleze hayo kwa ufupi, ili usichukuliwe tu na maneno ya kisiasa yanayoletwa kutokea madhabahuni kwa Jina la Yesu Lakini hayana Mungu ndani yake.Katika makala nyingine nitaeleza sababu za kiroho kinyume na anazoeleza Askofu Gwajima,Sababu za Kiimani na yapi tunayopaswa kuyafanya Kama Kweli sisi ni watu wa Mungu?Je kutojilinda na kuvaa barakoa NI kukosa imani?Usikose....Asante kwa kufuatilia

🔵Na:Shujaa Charles Richard Mwaisemba(©️®️Ⓜ️)

stmwaisembac@gmail.com

0712054498/0759420202
Wewe umekuja na porojo zaidi nafuu ya Gwajima, nilitegemea uje na majibu ya kisayansi mwenzetu Labda wewe umebobea zaidi kujua long term side effects anazouliza Gwajima kuanzia Labda miaka 5.

Hivyi ni research ipi ulitaka Gwajima athibitishe kwa data wakati chanjo huchukua miaka kadhaa kujua hizo long term effects? Si ndo hofu yake ilipo?
Wewe ndo tuthibitishie Kama unazo data.

Eti Anamchonganisha rais na wananchi,hivyi Gwajima ni wa Kwanza kueleza chanjo Zina madhara? JPM si ndo alikuwa wa Kwanza? Hivyi JPM na wewe na viongozi unaowajua Nani anamfikia JPM kwa kuwa na uchungu na maisha ya Watanzania?.

Ni nchi gani tupe data waliochanjwa hawaambukizi Wala kuambukizwa!

Ni nchi gani watu wake hawafi na Corona baada ya kuchanjwa? Labda Ulaya wanakotengeneza chanjo hawafi?
Unaweza kutupa data?

Je tangu Corona iingie nchini zaidi ya mwaka tumeishi vipi!? Nchi zilizochanjwa wametuzidi Nini?
Zaidi ya lockdown na kuongezeka visa?

Unamtuhumu mtu aliyesema ukweli na Bungeni aliwahi hoji?
Umetumwa na Nani wewe kwa faida ya Nani? Unauchungu na maisha ya watu au ni tumbo lako? Au kicheo chako?
 
This is stupidly:

KWANZA, NI muhimu kujua Utafiti unapingwa na Utafiti kinzani, Hoja inapingwa na hoja!nHivyo unavyoleta hoja ya kudai hakuna utafiti wa kutosha kuwa Chanjo iliyoletwa sio salama kwetu, ulipaswa wewe utupe ni utafiti gani uliokuthibitishia wewe au ulioufanya au uliofanywa kuwa kilicholetwa sio salama na kwamba kinaweza kuleta madhara ya watu kuwa vichaa,mazezeta au kushindwa kuzaa Viumbe wenye akili?
Dawa zenyewe zipo kwenye majaribio ndo research yenyewe inafanyika Sasa.
Ndo maana watu walipoanza kuganda damu nchi zilianza kusitisha matumizi ya haadhi ya chanjo.

Au wewe mwenzetu unazo hizo research?
 
Hoja ya chanjo ni vita vya makampuni ya chanjo kuharíbiana
 
Kuna watu nafsi yangu iliwakataa toka day 1 nilipowasikia watu wakiwaongelea na sijawahi kuwakubali kabisaaa. Kwa haraka, baadhi ya watu hao ni:

Edward Lowassa (hata kabla ya tuhuma akiwa Waziri Mkuu)
Humphrey Polepole (hata toka akisifiwa kwenye mijadala ya katiba)
Josephat Gwajima (hata kipindi yuko karibu na CHADEMA)
Mwigulu Nchemba

Najaribu sana kuisikiliza sauti ya kutoka ndani ya nafsi yangu.
 
Acha kuleta siasa kwenye afya za watu. Hizi siasa peleka huko kwenye miamala ya simu na siyo kwenye suala linalogusa miili ya watu. Kabla ya Gwajima kuleta tafiti zake, serikali ndiyo ilipaswa kuja na scientific research evidence kwamba hizo chanjo ni salama.
Sasa kwa vile Serikali haina uhakika na usalama wa hizi chanjo, ndiyo maana imesema KUCHANJA/KUCHANJWA SI LAZIMA. Yaani kila mtu afanye uamuzi wake kwa hiari yake mwenyewe; kwa lugha nyingine nyepesi ni kwamba KILA MTU ABEBE MSALABA WAKE! Serikali haina muda, vifaa wala wataalam wa kufanya hilo unalotaka - la kukuthibitishia usalama wako kwenye hii CHANJO YA UVIKO - 19!
 
Askofu Rashid Gwajima kaupiga mwingi sana,kaishika CCM na Serikali yake pabaya wamebakia kubweka bweka tu lakini hawana cha kumfanya. Gwajima ana'watu'.
 
✳️HOJA ZA ASKOFU GWAJIMA KUHUSU CHANJO YA CORONA HAZINA MASHIKO(ZINA MAPUNGUFU MENGI), ISIPOKUWA ZINA AGENDA NYINGINE NYUMA YAKE

🔵Na:Shujaa©️®️Ⓜ️

Leo nimeona mjadala mkubwa unao-trend kwenye mitandao yote ya kijamii kuhusu hoja za Askofu Gwajima kuhusu CHANJO YA CORONA ambayo akishauri watanzania wote watumie hiyari Yao kukataa CHANJO hiyo ya Corona kwasababu mbalimbali alizozitoa ambazo ndizo nimeziona zina mapungufu makubwa na hazina tija, na pia nimeona maoni watanzania wengi wakimpongeza kwa ujasiri wake wa kuwa kinyume na msimamo wa serikali yake na Chama chake

Ukimsiliza vizuri na kwa makini Askofu Gwajima utaziona hoja zake Zote zimebase Katika maeneo 4

1️⃣ Anadai HAKUNA research(study) za kutosha zinazoonyesha kuwa Chanjo hii ya Corona inaweza kuwa salama kabisa kwa miaka 3 au 4 au 10 ijayo baadae hasa inapoingia Katika DNA na RNA za binadamu Yaani Anadai HAKUNA reaserch Kama Chanjo Ina madhara au la!

Anadai hao watu watakaochanjwa watakuwa Nini baaadae na kwa vizazi vyao, kwamba huenda ikasababisha miaka ya baaadae au vizazi vijavyo ikatuletea madhara ya makubwa ya watu kukosa akili,Kuwa mazezeta au Misukule(Mazombie)

Hatimaye Anadai kwa kukubali Chanjo hizo hasa kwa makundi matano ambayo yamewekwa Kama makundi ya ulazima kuchanjwa yaani makundi ya ulinzi na usalama,Madaktari,Viongozi wa dini n.k kuwa TUNAWEZA kuwapoteza hao wetu wa muhimu Katika taifa na kuliacha Taifa kutokuwa salama Katika Ulinzi,Afya na Usalama kwa ujumla was maliasili zetu

2️⃣ Anadai kwa uwazi kabisa kuwa wanasayansi wetu wote wamekula hela Yaani wamepewa rushwa ya hela ili watoe ripoti za uongo kwa watanzania Ili wakubali kuchanjwa Hiyo Chanjo ya Corona!!

Maanake hata kamati iliyoundwa na serikali kuchunguza juu ya ubora na uhalali wa Chanjo hii ya Corona inayoitwa Jonhson Jonhson(JJ) kuwa hao wote wamepewa rushwa ili tu kupitisha chanjo hii

3️⃣ Ni Kama anaishutumu Serikali ya CCM ya Mama Samia Suluhu iliyopo madarakani kwamba imeshinikizwa na mataifa ya dunia au na wazungu ili kukubali Chanjo isiyo salama iingie nchini akidai kuwa ndio wazungu Wana Nia yao chafu ndio maana wanatupatia Chanjo hizi Bure na kwa kutupa misaada ya Bure kwasababu Anadai kuwa serikali imeshinikizwa kuwafanyia majaribio watanzania zaidi ya milion 60

Anadai Africa NI bara linalotamaniwa Sana na wazungu kwasababu ya rasilimali zetu, Ndio maana wanaruhusu tuletewe Chanjo ya JJ ambayo siyo Kama waliyochanjwa wamarekani au Kama waliyochanjwa Waingereza akidai ile chemical content inayotumika huko sio hii inayotumika kwetu!Hivyo ndio maana ana mashaka na Chanjo hii

4️⃣ NI Kama Pia anaishutumu Serikali yake ya CCM inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan !Kwani anahoji Kwanini baada tu ya Magufuli kufa ndio swala la Corona limeanza kupewa Nguvu na uzito mkubwa?Wakati kabla ya Kufa kwa magufuli Tulifanya kampeni salama,hatukuvaa barakoa,Tulimuaga magufuli kwenye msiba wake tukiwa kwa maelfu? Hivyo anahoji mbona magufuli alipinga hii Chanjo Ila mbona sasa hili swala limepewa uzito?

Hizo ndizo hoja za Askofu Gwajima ambazo wengi kwa kutotumia akili kufikiri wameingia Katika mkumbo wa kupongeza tu.Ila nami naomba nimuhoji Mambo machache au tutafakari nami Mambo machache ambayo yatatufanya kuona kuwa hoja hizi za Gwajima hazina maana Wala Msingi na Pili zina agenda NYINGINE NYUMA YAKE

🔜 KWANZA, NI muhimu kujua Utafiti unapingwa na Utafiti kinzani, Hoja inapingwa na hoja!Hivyo unavyoleta hoja ya kudai hakuna utafiti wa kutosha kuwa Chanjo iliyoletwa sio salama kwetu, ulipaswa wewe utupe ni utafiti gani uliokuthibitishia wewe au ulioufanya au uliofanywa kuwa kilicholetwa sio salama na kwamba kinaweza kuleta madhara ya watu kuwa vichaa,mazezeta au kushindwa kuzaa Viumbe wenye akili?

PILI Kwanini uwaze Negative tu Yaani madhara mabaya tutakayoweza kuyapata kwa kukubali kuchanjwa Chanjo hii ya Corona ikiwa Kama Ina madhara? Kwanini usiwaze au kufikiri what if ikiwa Haina madhara na wengi wao wamekataa,NI Nini kitakachowapata au kitakachozaliwa kwa kukataa Hiyo chanjo,maana amesema Hana uhakika(Possibility)?

Hivyo kwa namna ile ile ambavyo Hauna uhakika wa scientific research juu ya madhara ya chanjo Hiyo kwa mtu kwamba inaharibu Gene(tabia )zake ndivyo Hivyo Hivyo watu wanaweza wakapatwa madhara zaidi ikiwa kweli Hiyo Chanjo itafanya kazi vizuri,waliokataa ndio watadhurika zaidi!

🔜TATU NI akili ndogo na za kijinga Sana na za kimaskini kufikiri kwamba eti wazungu wametutengenezeshea Chanjo waafrica ili kutuua, kudumaza akili zetu,Kutufanya mazezeta au vichaa,Kuharibu vizazi vyetu vya baadae, kutaka kutuibia rasilimali zetu kupitia hii Chanjo ya Corona

Hata Kama una akili ndogo tu Kama Mimi ebu tutafakari tu jambo Moja!Hapo kwetu Africa au Hapa Tanzania ni vitu vingapi, au bidhaa ngapi au madawa gani ambayo tunayatengeneza sisi wenyewe wazawa wa nchi? Utapata Jibu kuwa karibia 80% ya bidhaa au vitu tunavyotumia Zote zimetoka kwa hao wazungu,vyote vimetengenezwa na hao hao wazungu ambao leo ndio unawaza kuwa wanataka kukufanya zezeta eti kwasababu ya Corona?

Madawa karibu yote tunayotumia yametoka kwa wazungu, Kama kuchanjwa tumechanjwa Chanjo nyingi Sana tangu utotoni (Chanjo ya polia,Surua,ndui) ambazo zimetoka kwa hao hao wazungu ambao leo tunawahofia

Kama NI hofu ya kudukuliwa,Sisi Tanzania tunatumia Google au Email au Network ambazo server zake zipo huko huko kwa wazungu!Hivi Kama wangetaka kutuibia na kutufilisi wangeshindwa kufanya Hivyo?Au kwamba Corona ndio imefanya washtuke kwamba waafrika wapo wengi Hivyo wanahitaji kutupunguza kwa Kutumia Chanjo?Kuwa Hivyo au kufikiri Hivyo inaonyesha una mawazo ya kimaskini na NI mawazo ya kitoto

Wakuue wewe leo kwasababu ya nini?Kwanini wasingekuua Jana? Shirika la Afya la WHO na mengine mengi ndio limekuwa likitumika kuidhinisha Chanjo hizo na ndio yameendelea kufanya study nyingi mbalimbali duniani kulitia wanasayansi mbalimbali kuhalikisha janga hili linapungua Kama si kutokomezwa!!

Hivyo kuwa na mashaka na wanasayansi wako ambao siku Zote ndio wamekuwa wakikuhudumia na kukupatia Dawa NI sawa kujitekenya mwenyewe alafu ukacheka mwenyewe

NNE Kwa Askofu mkubwa Kama Gwajima kusimama hadharani na kuishutumu serikali yake na ya chama chake CCM kuwa eti imeunda kamati ya wana sayansi ya kutafiti Hiyo Chanjo ya Corona ya JJ ambayo Anadai wanasayansi wote hao wamepewa hela Yaani Rushwa ili kuleta ripoti ya uongo kwa watanzania!!!Kuleta taharuki na shutuma nzito Kama hizo dhidi ya serikali NI Kosa kubwa Sana ambalo inapaswa hata afikishwe mahakani na ahojiwe ili athibitishe hao wanasayansi NI Nani na wapi na shilingapi wamepewa ili walete tafiti za uongo zitakazotupa kuhatarisha usalama wa watanzania wote mil 60.

NI makosa makubwa Sana kwa Askofu Gwajima kumshutumu Rais wa Nchi Samia Suluhu Hassan kuwa anayoyafanya anayafanya kwasababu ya presha ya mataifa makubwa ya dunia.Yaani anaona sio akili zake!Mbaya zaidi anampambanua Raisi Samia na Hayati Magufuli na kumuona Rais Samia amekosea Sana kulieleza taifa juu ya wimbi hatari la tatu la Corona kwa kuwaonya watu kuchukua tahadhari Zote ikiwa pamoja na Kutumia Chanjo ya Corona.

Anachofanya Askofu Gwajima mbele ya watanzania NI kujaribu kuwachonganisha watanzania na Raisi wao Samia Suluhu Hassan ambao wengi wao waliona njia alizokuwa anatumia Hayati Raisi Magufuli kuwa ndio sahihi.Hivyo anataka kuwaaminisha watanzania wamuone Raisi Samia kuwa ni mbaya na ndiye anatumiwa na mabeberu Kama alivyokuwa anaeleza mtangulizi wake na anachofanya NI kuleta uchonganishi wa wazi.

Lazima tufahamu Raisi Magufuli sio Mungu na sio kipimo Cha usahihi wetu, Na sio lazima kilichokuwa sahihi Jana basi hata leo kinaweza kuwa sahihi!Yapo makosa mengi sana ambayo Rais Magufuli aliyafanya yaliyolisababishia Taifa kuwa kwenye Hali nzito, pamoja na kwamba pia Kuna mazuri mengine aliyafanya katika maamuzi yake ya namna ya kushughulika na Corona kwa Wakati wake ambayo kwa Wakati huu hatupaswi Kutumia approach zile zile

Niseme wazi ndugu zangu watanzania, mtu asiwadanganye CORONA IPO na watu wanakufa Kama Kuku wenye mdondo! Usiwe shabiki tu wa mtandaoni na kuwasikiliza Hawa Wana siasa akina Gwajima anawatia Moyo Kuona Corona Haina Nguvu na haipo.Toka huku mitandaoni ebu zunguka kwenye hospitali kadhaa za rufaa unazozijua Kama upo kwenye majiji makubwa alafu ufanye utafiti wako!Utakuta hospitali zimeshona na wagonjwa was Corona wanaongezeka kila kicha na wanakufa kwa namna isiyo ya kawaida-...

Nimeona nieleze hayo kwa ufupi, ili usichukuliwe tu na maneno ya kisiasa yanayoletwa kutokea madhabahuni kwa Jina la Yesu Lakini hayana Mungu ndani yake.Katika makala nyingine nitaeleza sababu za kiroho kinyume na anazoeleza Askofu Gwajima,Sababu za Kiimani na yapi tunayopaswa kuyafanya Kama Kweli sisi ni watu wa Mungu?Je kutojilinda na kuvaa barakoa NI kukosa imani?Usikose....Asante kwa kufuatilia

🔵Na:Shujaa Charles Richard Mwaisemba(©️®️Ⓜ️)

stmwaisembac@gmail.com

0712054498/075942020Jinga linalojiona Lina akilii,jinga na pumbavu ila kwao ni genius
 
hazina mashiko kwa sababu HAUNA AKILI wewe ni kiranja wa shetani.
 
MWAISEMBA CR najua wewe umeokoka (kama hujaacha bado)
Basi kwa utulivu naomba upitie hii Fact Sheet ya Janssen Covid 19 vaccine. Halafu utakuwa na nafasi pana zaidi ya kuboresha andiko lako.
Usisahau hivi vipengele:

The Janssen COVID-19 Vaccine may prevent you from getting COVID-19. There is no U.S. Food and Drug Administration (FDA) approved vaccine to prevent COVID-19.

WHAT IS THE JANSSEN COVID-19 VACCINE?
The Janssen COVID-19 Vaccine is an unapproved vaccine that may prevent COVID-19. There is no FDA-approved vaccine to prevent COVID-19.

HAS THE JANSSEN COVID-19 VACCINE BEEN USED BEFORE?
The Janssen COVID-19 Vaccine is an unapproved vaccine. In an ongoing clinical trial, 21,895 individuals 18 years of age and older have received the Janssen COVID-19 Vaccine.

WHAT ARE THE BENEFITS OF THE JANSSEN COVID-19 VACCINE?
In an ongoing clinical trial, the Janssen COVID-19 Vaccine has been shown to prevent COVID-19 following a single dose. The duration of protection against COVID-19 is currently unknown.

Mengine utayasoma humo. Unaweza tafuta Fact Sheet za chanjo nyingine pia ukaona yaliyomo. Naamini kwa haya machache utaboresha zaidi bandiko lako ili huu mjadala uwe wa kitaalam zaidi ya kisiasa na malumbano.

Niwasihi Watanzania, tutumie hiyari yetu kufanya maamuzi yale tunaona ni sahihi. Hakuna haja ya kutukanana wala kulazimishana. Kama unadhani una sababu za msingi basi ziseme bila kuwaudhi wala kuwaona wapinzani wa muono wako ni wadudu. Sisi bado ni taifa moja hata katikati ya kutokubaliana kwetu.

Mungu wa mbinguni awabariki. Mungu aibariki na kuitunza Tanzania yetu!

Fact Sheet: https://www.fda.gov/media/146305/download
 
Gwajima akigombea urais anapita mapema kabisa, kura yangu tayari ameshaa ipata.

Wiki lijalo naenda kumuondoa mwanangu shule ili nimfundishie nyumbn wasije wakamdunga hayo matakataka yao.!
 
Ww nenda
✳️HOJA ZA ASKOFU GWAJIMA KUHUSU CHANJO YA CORONA HAZINA MASHIKO(ZINA MAPUNGUFU MENGI), ISIPOKUWA ZINA AGENDA NYINGINE NYUMA YAKE

🔵Na:Shujaa©️®️Ⓜ️

Leo nimeona mjadala mkubwa unao-trend kwenye mitandao yote ya kijamii kuhusu hoja za Askofu Gwajima kuhusu CHANJO YA CORONA ambayo akishauri watanzania wote watumie hiyari Yao kukataa CHANJO hiyo ya Corona kwasababu mbalimbali alizozitoa ambazo ndizo nimeziona zina mapungufu makubwa na hazina tija, na pia nimeona maoni watanzania wengi wakimpongeza kwa ujasiri wake wa kuwa kinyume na msimamo wa serikali yake na Chama chake

Ukimsiliza vizuri na kwa makini Askofu Gwajima utaziona hoja zake Zote zimebase Katika maeneo 4

1️⃣ Anadai HAKUNA research(study) za kutosha zinazoonyesha kuwa Chanjo hii ya Corona inaweza kuwa salama kabisa kwa miaka 3 au 4 au 10 ijayo baadae hasa inapoingia Katika DNA na RNA za binadamu Yaani Anadai HAKUNA reaserch Kama Chanjo Ina madhara au la!

Anadai hao watu watakaochanjwa watakuwa Nini baaadae na kwa vizazi vyao, kwamba huenda ikasababisha miaka ya baaadae au vizazi vijavyo ikatuletea madhara ya makubwa ya watu kukosa akili,Kuwa mazezeta au Misukule(Mazombie)

Hatimaye Anadai kwa kukubali Chanjo hizo hasa kwa makundi matano ambayo yamewekwa Kama makundi ya ulazima kuchanjwa yaani makundi ya ulinzi na usalama,Madaktari,Viongozi wa dini n.k kuwa TUNAWEZA kuwapoteza hao wetu wa muhimu Katika taifa na kuliacha Taifa kutokuwa salama Katika Ulinzi,Afya na Usalama kwa ujumla was maliasili zetu

2️⃣ Anadai kwa uwazi kabisa kuwa wanasayansi wetu wote wamekula hela Yaani wamepewa rushwa ya hela ili watoe ripoti za uongo kwa watanzania Ili wakubali kuchanjwa Hiyo Chanjo ya Corona!!

Maanake hata kamati iliyoundwa na serikali kuchunguza juu ya ubora na uhalali wa Chanjo hii ya Corona inayoitwa Jonhson Jonhson(JJ) kuwa hao wote wamepewa rushwa ili tu kupitisha chanjo hii

3️⃣ Ni Kama anaishutumu Serikali ya CCM ya Mama Samia Suluhu iliyopo madarakani kwamba imeshinikizwa na mataifa ya dunia au na wazungu ili kukubali Chanjo isiyo salama iingie nchini akidai kuwa ndio wazungu Wana Nia yao chafu ndio maana wanatupatia Chanjo hizi Bure na kwa kutupa misaada ya Bure kwasababu Anadai kuwa serikali imeshinikizwa kuwafanyia majaribio watanzania zaidi ya milion 60

Anadai Africa NI bara linalotamaniwa Sana na wazungu kwasababu ya rasilimali zetu, Ndio maana wanaruhusu tuletewe Chanjo ya JJ ambayo siyo Kama waliyochanjwa wamarekani au Kama waliyochanjwa Waingereza akidai ile chemical content inayotumika huko sio hii inayotumika kwetu!Hivyo ndio maana ana mashaka na Chanjo hii

4️⃣ NI Kama Pia anaishutumu Serikali yake ya CCM inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan !Kwani anahoji Kwanini baada tu ya Magufuli kufa ndio swala la Corona limeanza kupewa Nguvu na uzito mkubwa?Wakati kabla ya Kufa kwa magufuli Tulifanya kampeni salama,hatukuvaa barakoa,Tulimuaga magufuli kwenye msiba wake tukiwa kwa maelfu? Hivyo anahoji mbona magufuli alipinga hii Chanjo Ila mbona sasa hili swala limepewa uzito?

Hizo ndizo hoja za Askofu Gwajima ambazo wengi kwa kutotumia akili kufikiri wameingia Katika mkumbo wa kupongeza tu.Ila nami naomba nimuhoji Mambo machache au tutafakari nami Mambo machache ambayo yatatufanya kuona kuwa hoja hizi za Gwajima hazina maana Wala Msingi na Pili zina agenda NYINGINE NYUMA YAKE

🔜 KWANZA, NI muhimu kujua Utafiti unapingwa na Utafiti kinzani, Hoja inapingwa na hoja!Hivyo unavyoleta hoja ya kudai hakuna utafiti wa kutosha kuwa Chanjo iliyoletwa sio salama kwetu, ulipaswa wewe utupe ni utafiti gani uliokuthibitishia wewe au ulioufanya au uliofanywa kuwa kilicholetwa sio salama na kwamba kinaweza kuleta madhara ya watu kuwa vichaa,mazezeta au kushindwa kuzaa Viumbe wenye akili?

PILI Kwanini uwaze Negative tu Yaani madhara mabaya tutakayoweza kuyapata kwa kukubali kuchanjwa Chanjo hii ya Corona ikiwa Kama Ina madhara? Kwanini usiwaze au kufikiri what if ikiwa Haina madhara na wengi wao wamekataa,NI Nini kitakachowapata au kitakachozaliwa kwa kukataa Hiyo chanjo,maana amesema Hana uhakika(Possibility)?

Hivyo kwa namna ile ile ambavyo Hauna uhakika wa scientific research juu ya madhara ya chanjo Hiyo kwa mtu kwamba inaharibu Gene(tabia )zake ndivyo Hivyo Hivyo watu wanaweza wakapatwa madhara zaidi ikiwa kweli Hiyo Chanjo itafanya kazi vizuri,waliokataa ndio watadhurika zaidi!

🔜TATU NI akili ndogo na za kijinga Sana na za kimaskini kufikiri kwamba eti wazungu wametutengenezeshea Chanjo waafrica ili kutuua, kudumaza akili zetu,Kutufanya mazezeta au vichaa,Kuharibu vizazi vyetu vya baadae, kutaka kutuibia rasilimali zetu kupitia hii Chanjo ya Corona

Hata Kama una akili ndogo tu Kama Mimi ebu tutafakari tu jambo Moja!Hapo kwetu Africa au Hapa Tanzania ni vitu vingapi, au bidhaa ngapi au madawa gani ambayo tunayatengeneza sisi wenyewe wazawa wa nchi? Utapata Jibu kuwa karibia 80% ya bidhaa au vitu tunavyotumia Zote zimetoka kwa hao wazungu,vyote vimetengenezwa na hao hao wazungu ambao leo ndio unawaza kuwa wanataka kukufanya zezeta eti kwasababu ya Corona?

Madawa karibu yote tunayotumia yametoka kwa wazungu, Kama kuchanjwa tumechanjwa Chanjo nyingi Sana tangu utotoni (Chanjo ya polia,Surua,ndui) ambazo zimetoka kwa hao hao wazungu ambao leo tunawahofia

Kama NI hofu ya kudukuliwa,Sisi Tanzania tunatumia Google au Email au Network ambazo server zake zipo huko huko kwa wazungu!Hivi Kama wangetaka kutuibia na kutufilisi wangeshindwa kufanya Hivyo?Au kwamba Corona ndio imefanya washtuke kwamba waafrika wapo wengi Hivyo wanahitaji kutupunguza kwa Kutumia Chanjo?Kuwa Hivyo au kufikiri Hivyo inaonyesha una mawazo ya kimaskini na NI mawazo ya kitoto

Wakuue wewe leo kwasababu ya nini?Kwanini wasingekuua Jana? Shirika la Afya la WHO na mengine mengi ndio limekuwa likitumika kuidhinisha Chanjo hizo na ndio yameendelea kufanya study nyingi mbalimbali duniani kulitia wanasayansi mbalimbali kuhalikisha janga hili linapungua Kama si kutokomezwa!!

Hivyo kuwa na mashaka na wanasayansi wako ambao siku Zote ndio wamekuwa wakikuhudumia na kukupatia Dawa NI sawa kujitekenya mwenyewe alafu ukacheka mwenyewe

NNE Kwa Askofu mkubwa Kama Gwajima kusimama hadharani na kuishutumu serikali yake na ya chama chake CCM kuwa eti imeunda kamati ya wana sayansi ya kutafiti Hiyo Chanjo ya Corona ya JJ ambayo Anadai wanasayansi wote hao wamepewa hela Yaani Rushwa ili kuleta ripoti ya uongo kwa watanzania!!!Kuleta taharuki na shutuma nzito Kama hizo dhidi ya serikali NI Kosa kubwa Sana ambalo inapaswa hata afikishwe mahakani na ahojiwe ili athibitishe hao wanasayansi NI Nani na wapi na shilingapi wamepewa ili walete tafiti za uongo zitakazotupa kuhatarisha usalama wa watanzania wote mil 60.

NI makosa makubwa Sana kwa Askofu Gwajima kumshutumu Rais wa Nchi Samia Suluhu Hassan kuwa anayoyafanya anayafanya kwasababu ya presha ya mataifa makubwa ya dunia.Yaani anaona sio akili zake!Mbaya zaidi anampambanua Raisi Samia na Hayati Magufuli na kumuona Rais Samia amekosea Sana kulieleza taifa juu ya wimbi hatari la tatu la Corona kwa kuwaonya watu kuchukua tahadhari Zote ikiwa pamoja na Kutumia Chanjo ya Corona.

Anachofanya Askofu Gwajima mbele ya watanzania NI kujaribu kuwachonganisha watanzania na Raisi wao Samia Suluhu Hassan ambao wengi wao waliona njia alizokuwa anatumia Hayati Raisi Magufuli kuwa ndio sahihi.Hivyo anataka kuwaaminisha watanzania wamuone Raisi Samia kuwa ni mbaya na ndiye anatumiwa na mabeberu Kama alivyokuwa anaeleza mtangulizi wake na anachofanya NI kuleta uchonganishi wa wazi.

Lazima tufahamu Raisi Magufuli sio Mungu na sio kipimo Cha usahihi wetu, Na sio lazima kilichokuwa sahihi Jana basi hata leo kinaweza kuwa sahihi!Yapo makosa mengi sana ambayo Rais Magufuli aliyafanya yaliyolisababishia Taifa kuwa kwenye Hali nzito, pamoja na kwamba pia Kuna mazuri mengine aliyafanya katika maamuzi yake ya namna ya kushughulika na Corona kwa Wakati wake ambayo kwa Wakati huu hatupaswi Kutumia approach zile zile

Niseme wazi ndugu zangu watanzania, mtu asiwadanganye CORONA IPO na watu wanakufa Kama Kuku wenye mdondo! Usiwe shabiki tu wa mtandaoni na kuwasikiliza Hawa Wana siasa akina Gwajima anawatia Moyo Kuona Corona Haina Nguvu na haipo.Toka huku mitandaoni ebu zunguka kwenye hospitali kadhaa za rufaa unazozijua Kama upo kwenye majiji makubwa alafu ufanye utafiti wako!Utakuta hospitali zimeshona na wagonjwa was Corona wanaongezeka kila kicha na wanakufa kwa namna isiyo ya kawaida-...

Nimeona nieleze hayo kwa ufupi, ili usichukuliwe tu na maneno ya kisiasa yanayoletwa kutokea madhabahuni kwa Jina la Yesu Lakini hayana Mungu ndani yake.Katika makala nyingine nitaeleza sababu za kiroho kinyume na anazoeleza Askofu Gwajima,Sababu za Kiimani na yapi tunayopaswa kuyafanya Kama Kweli sisi ni watu wa Mungu?Je kutojilinda na kuvaa barakoa NI kukosa imani?Usikose....Asante kwa kufuatilia

🔵Na:Shujaa Charles Richard Mwaisemba(©️®️Ⓜ️)

stmwaisembac@gmail.com

0712054498/0759420202
Ww nenda kakojoe ulale, huu mziki ni mkubwa sana kwako! Upeo wako ni mdogo sana, huwezing'amua hata tukikesha tunakuelewesha! Hivyo kaa utulie na ujielewe tu akili zako ktk hili hazina akili!
 
Back
Top Bottom