Zanzibar 2020 Hoja za Dkt. Hussein Mwinyi zinatosha kumpa nchi Oktoba 28

Nitajie shule gani kasoma Zanzibar madrasa gani kawahi kusoma na jee hapa Zanzibar kwao nikijiji gani utakapo nijibu hill kuna jengine nakuongezee tangu alipo kuwemo ndani ya bunge umemsikia lini akiitetea Zanzibar na jee ni waziri wa ulinzi na usalama umemsikia lini kuwatetea wale mashekhe wa uamsho huu ni mwaka 8 anawasulubu nijibu MASWALI yangu

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Hoja zake ndizo linapelekea watu kumuamini anastahili na anauwezo wa kuiongoza Zanzibar
 
Tatizo viongoz wa ccm Zanzibar baada tu ya kuchaguliwa hawana Tena mamlaka ya kufanya llte wanakuwa Kama wanaendeshwa kikubwa ni Kuna Mali na ardhi na kujimilikisha wenyewe huyo mwinyi nae Hana jipya anakuja kuongeza maeneo aliyaacha babakee wazidu kula Bata hi ndio Zanzibar bwana hapa kwangu ndio Sera ya vusiwa hivi mnyonge Hana thamani huo ndio ukwel Zanzibar kwa heri ile inaelekea kisarawe
 
Ishara yai udikteta
 
Bado mtoto was balozi nae kugombania Zanzibar hahahahah
Zanzibar aslili yake no usultan Sasa ndio tunafata mfumo huo
 

Yani upo kwenu Mkuranga unalima Mtama unawapangia Wazanzibari nani wa kumchagua?
 
wazanzibari ebu achene undina, mtachaguliwa raisi adi lini?
 
Huyu ni tourist hawezi kupewa nchi kule znz.. Hana public visibility. ni mgeni kule.
 
Huyu ni tourist hawezi kupewa nchi kule znz.. Hana public visibility. ni mgeni kule.
wakati wamekwisha iba wagombea wa uwakilishi 11 bado munasema kuwa wako sawa. Kwanza warekebishe walio yafanya. demokrasia katiba na sheria za nchi zinavunjwa na CCM na bado baadhi yetu wanaongea kama vile hawaoni hatari ilioko mbele ya macho yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…