johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni kawaida ya CHADEMA kwenda na matukio na wakati mwingine huvamia tu agenda bila ya kuwa na mwelekeo wowote.
Hebu tuache hizo hoja za kibunge kutoka kwa hao wabunge kiduchu wa EU zijibiwe na wabobezi kutoka katika kamati yetu ya bunge ya mambo ya nje.
Sisi watanzania wengine ukiwemo wewe Daudi Mchambuzi na Tindo tuendelee kuchapa kazi kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Kazi na Iendelee.
Maendeleo hayana vyama
Hebu tuache hizo hoja za kibunge kutoka kwa hao wabunge kiduchu wa EU zijibiwe na wabobezi kutoka katika kamati yetu ya bunge ya mambo ya nje.
Sisi watanzania wengine ukiwemo wewe Daudi Mchambuzi na Tindo tuendelee kuchapa kazi kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Kazi na Iendelee.
Maendeleo hayana vyama