Hoja za kibunge hujibiwa kibunge, tumwachie Spika Ndugai amalizane na Bunge la EU na sisi wengine tuchape kazi

Kuna Bunge la kujibu hoja hizo hapo? nani anaweza kujibu kwamba zile hela 74b zilitumikaje? Acheni utani kwenye haya mambo mshayakoroga tayari. Mzungu kwenye hela zake huwa hacheki na kima. Sisi tunaendelea kuuguza majeraha - pambaneni na hali zenu.
Washalikoroga, hawana budi kulinywa, wakilimeza au wakilitema ni shauri yao.
 
john thebabtist.

UNAHANGAIKA SANA NA UNAJIPA KAZI NGUMU KAMA PASCAL MAYALLA.

UKIZEEKA UTAKUWA MALLAYA.
 
...."Hebu tuache hizo hoja za kibunge kutoka kwa hao wabunge kiduchu wa EU zijibiwe na wabobezi kutoka katika kamati yetu ya bunge ya mambo ya nje".....
Ufananishe uhusiano wa bunge letu na lao kama uhusiano uliopo kati ya ombaomba na mpita njia
 
Labda usichokielewa ni kwamba hakuna nchi inayoitwa EU Dunia hii, sasa unataka Spika wa Bunge la JMTZ ajibizane na nchi hewa?
Tatizo kuu la nchi na taifa letu ni ELIMU, ELIMU, ELIMU
 
Labda usichokielewa ni kwamba hakuna nchi inayoitwa EU Dunia hii, sasa unataka Spika wa Bunge la JMTZ ajibizane na nchi hewa?
Tatizo kuu la nchi na taifa letu ni ELIMU, ELIMU, ELIMU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…