johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #41
Mbona Ufipa ziro kibao lakini mnasonga mbele?Tatizo kuu la nchi na taifa letu ni ELIMU, ELIMU, ELIMU
Yule Balozi aliyewajibu EU jana naye ni mwanachama wa CHADEMA?Ni kawaida ya CHADEMA kwenda na matukio na wakati mwingine huvamia tu agenda bila ya kuwa na mwelekeo wowote.
Hebu tuache hizo hoja za kibunge kutoka kwa hao wabunge kiduchu wa EU zijibiwe na wabobezi kutoka katika kamati yetu ya bunge ya mambo ya nje.
Sisi watanzania wengine ukiwemo wewe Daudi Mchambuzi na Tindo tuendelee kuchapa kazi kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Kazi na Iendelee.
Maendeleo hayana vyama
Hapa UMEKURUPUKA hoja hizo ni kwa serikali ya Tanzania hazilihusu bunge la Tanzania.Ni kawaida ya CHADEMA kwenda na matukio na wakati mwingine huvamia tu agenda bila ya kuwa na mwelekeo wowote.
Hebu tuache hizo hoja za kibunge kutoka kwa hao wabunge kiduchu wa EU zijibiwe na wabobezi kutoka katika kamati yetu ya bunge ya mambo ya nje.
Sisi watanzania wengine ukiwemo wewe Daudi Mchambuzi na Tindo tuendelee kuchapa kazi kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Kazi na Iendelee.
Maendeleo hayana vyama
Serikali ya Tanzania inasimamiwa na chombo gani?Hapa UMEKURUPUKA hoja hizo ni kwa serikali ya Tanzania hazilihusu bunge la Tanzania.
Na huyo balozi wenu alikuwa anabwabwaja niniNi kawaida ya CHADEMA kwenda na matukio na wakati mwingine huvamia tu agenda bila ya kuwa na mwelekeo wowote.
Hebu tuache hizo hoja za kibunge kutoka kwa hao wabunge kiduchu wa EU zijibiwe na wabobezi kutoka katika kamati yetu ya bunge ya mambo ya nje.
Sisi watanzania wengine ukiwemo wewe Daudi Mchambuzi na Tindo tuendelee kuchapa kazi kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Kazi na Iendelee.
Maendeleo hayana vyama
This is thinly veiled censorship.Ni kawaida ya CHADEMA kwenda na matukio na wakati mwingine huvamia tu agenda bila ya kuwa na mwelekeo wowote.
Hebu tuache hizo hoja za kibunge kutoka kwa hao wabunge kiduchu wa EU zijibiwe na wabobezi kutoka katika kamati yetu ya bunge ya mambo ya nje.
Sisi watanzania wengine ukiwemo wewe Daudi Mchambuzi na Tindo tuendelee kuchapa kazi kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Kazi na Iendelee.
Maendeleo hayana vyama
Ni kawaida ya CHADEMA kwenda na matukio na wakati mwingine huvamia tu agenda bila ya kuwa na mwelekeo wowote.
Hebu tuache hizo hoja za kibunge kutoka kwa hao wabunge kiduchu wa EU zijibiwe na wabobezi kutoka katika kamati yetu ya bunge ya mambo ya nje.
Sisi watanzania wengine ukiwemo wewe Daudi Mchambuzi na Tindo tuendelee kuchapa kazi kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Kazi na Iendelee.
Maendeleo hayana vyama
Wewe huwa unanionaje bwashee kama nawe kila siku hauko Jf?Wewe hiyo kazi unaifanya saa ngapi kila siku umbeya tu humu. Kila mtu anajua anavyofanya kazi sio jukumu lako kuwaambia kwani hakuna anayekula kwako.
Nchi yetu imejaa ma Propesa ambao hawakuelimika pamoja na kukaa sana shuleni,wengi wameishia kuwa waimba mapambio tu.Mbona Ufipa ziro kibao lakini mnasonga mbele?
Hahahaaaa.......!
Haijalishi nani anasimamia serikali ya Tanzania, tuhuma ni kwa serikali ya Tanzania na si bunge, hivyo kama kuna wa kujibu ni serikali ya Tanzania na si vingenevyo.Serikali ya Tanzania inasimamiwa na chombo gani?
CCM yetu, Mwenyekiti Wetu bila kusahau na Serikali yetu ya CCM katika hili la Pesa za EU hakika tuna Kazi Pevu ya Kuwaelewesha Waliotusaidia.Ni kawaida ya CHADEMA kwenda na matukio na wakati mwingine huvamia tu agenda bila ya kuwa na mwelekeo wowote.
Hebu tuache hizo hoja za kibunge kutoka kwa hao wabunge kiduchu wa EU zijibiwe na wabobezi kutoka katika kamati yetu ya bunge ya mambo ya nje.
Sisi watanzania wengine ukiwemo wewe Daudi Mchambuzi na Tindo tuendelee kuchapa kazi kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Kazi na Iendelee.
Maendeleo hayana vyama