Hoja za kuikataa katiba pendekezwa hazina mashiko kabisa

Hoja za kuikataa katiba pendekezwa hazina mashiko kabisa

ndoa mtoa mada umeandika upuuziupuuzi mwingi sana na hii inaashiria jinsi unavyojaribu kutimiza malengo ya waovu waliokutuma kutetea katiba ya chenge na CCM yenu. kwa hiyo kulikuwa na haja gani ya kutumia mamilioni ya pesa za wananchi kukusanya maoni ambayo hayawezi kuzingatiwa na bunge la CCM? rudi ukaawambie hao waliokutuma kwamba mpango wao umedunda.
 
Back
Top Bottom