Uchaguzi 2020 Hoja za Tundu Lissu Bagamoyo ni mwiba mchungu kwa CCM. CCM inapomjibu Lissu anawasha moto zaidi

TL mpk leo anajua labda yupo Bungeni, sahizi ni muda wa kumwaga sera na kutuambia tukimpa Nchi atatufanyia nini lkn yy mpk sasa anatuhumu tuhumu kwamba Magufuli hajafanya hiki, mara Risasi nk....aisee bado tuna safari ndefu sana.
 
TL mpk leo anajua labda yupo Bungeni, sahizi ni muda wa kumwaga sera na kutuambia tukimpa Nchi atatufanyia nini lkn yy mpk sasa anatuhumu tuhumu kwamba Magufuli hajafanya hiki, mara Risasi nk....aisee bado tuna safari ndefu sana.
Wewe ndio unasafari ndefu kuufikirisha ubongo wako!
 
TL mpk leo anajua labda yupo Bungeni, sahizi ni muda wa kumwaga sera na kutuambia tukimpa Nchi atatufanyia nini lkn yy mpk sasa anatuhumu tuhumu kwamba Magufuli hajafanya hiki, mara Risasi nk....aisee bado tuna safari ndefu sana.

Wewe ni popoma. Hata shule ulisoma hivi hivi? Au unajitoa ufahamu tu kwa Lissu? Mara ngapi anasema Chadema itafanya hivi na vile?
 
Sidhani kama hoja hizi kuna wa kuzijibu labda ccm watekeleze haya kama njia ya kujibu ILA sio vinginevyo!
 
Uwafikie lakini majibu kwa wenye akili yanatakiwa, kwa nini uwanja wa ndege ujengwe kijijini Chato na pesa yake kutopitishwa na bunge?
Hyo ni minor case Sana kumuondoa gifted leader kama JPM
 
View attachment 1565570
Sawa Bwashehe.....CCM can not waste her time to answer somebody shit, kazi yao ni moja tuu, kuwafikia wapiga kura walipo na kuwatatulia shida zao ..... Hakuna impact yyte ya sera Kwa mda uliobaki... Ni kushikilia ulicho nacho
Kitu ambacho hamkijui CCM..kuna watu ambao huwezi kukuta wana ongelea siasa wala kwenda kwenye mikutano..hao ndio wanaenda kumuangusha Magu...
 
Mkuu, subiri kwenye sanduku ndo utajuwa ulikuwa ni mwiba au kijiti cha nyasi. Na kwa kupitia ndo utaona kama CHADEMA ulikuwa na mgombea wenye faida au kakiingiza chama mkenge? Stay tuned uchaguzi uishe na Magu aapishwe ndo utaikumbuka comment hii.
Kuapishwa au kushinda CCM haina mjadala, ni muda unasubiriwa. Japo ukweli ni aina ipi ya ushindi ndio jambo mara zote linaumiza vichwa vya wapenzi wa chaguzi zilizo huru na haki.
 
Zahanati za kwenye makaratasi hizi. Takwimu za kupika hizi. Our president is a big liar, egoistic and impulsive.
Kweli kuna uongo na kudanganywa! Shule moja Kanda ya ziwa alisema ilikarabatiwa kwa bilioni 700!
 
Magu hajawahi kutaja jina la Lissu hata kwa bahati mbaya ni dalili ya uwoga...hata nchi zilizoendelea wanatajana majina kwenye kampeni..
 
Watumishi wa Umma jamani nawahurumia sana, ikitokea amerudi madarakani huyu jamaa Jiwe, mtamjua yeye ni nani ! si unaona hawaongelei! kwenye kampeni zake! ana lake moyoni! hasa mnaoishi mijini km DSM. anachukia sana!

Atawafuta kazi wote, halafu anawapiga kalenda, mara mjiorodheshe! atawalipa, lipa lipa na wewe! akawii kuwatambia yeye ndiyo mwajiri mkuu!
fanyeni hivi; kwa umoja wenu tu mfuteni kazi yeye kwanza kabla hajawafuta nyie! hana faida nanyi, pateni vitu vipya Lissu hana shukrani yule! nilimpaga zamani lkn sasa sitaki apewe! Gwiji mwizi mkuu wa kura Nape yuko wapi? kimya!! sijui kafia wapi Maskini nape!
 
Hii picha inatrend lakini ni fully photo shop yaan aliyekata Kata na kuunga Hana weledi na kucheza na picha.
Wanaita Aireal pictures,picha moja upande wame zoom kwingine wame minimize original size.Aibu ya uchache wa watu inawatesa mno,hapo kuna wanafunzi,waalimu primary&secondary,watendaji wote wa vijiji na kata pamoja na wafanyakazi wa umma+askari both in combats&pain clothes,usalama na wasiojulikana(Jeshi la Akiba).Unafikiria huo umati wote unapigia kura kweye eneo hilo?
Mzee amekariri vijiji vilivyopata umeme wa REA.ujenzi wa barabara,madaraja,Bwawa la Kufua Umeme,sgr,ujenzi wa Ikulu Chamwino,bila ya kusahau uwanja kimataifa wa ndege Chattle nk.huku watumishi wa umma hawalipwi stahiki zao na hakuna ajira.
Watanzania tuamke,bila kufanya mabadiliko ya utawala huu tutapata shida sana.CCM wanaliharibu Taifa letu ili waendelee kututawala.
 
Zahanati takriban 300 zimejengwa nchi nzima with in 5 yrs , rekodi ya kipekee Sana , wakat kikwete alijenga zahanati 150 Kwa mda wa miaka kumi, zahanati hzo zinasubir watumishi wa afya waajiliwe mwaka ujao wa fedha
Zahanati zisizokuwa na watumishi wa afya?tunasubiri mwaka ujao tuajiri!!!!hivi mnakulaga nini hapo Lumumba?kiasi kwamba akili yote inapotea..?endelea kudanganya akina MUSIBA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…