Uchaguzi 2020 Hoja za Tundu Lissu Bagamoyo ni mwiba mchungu kwa CCM. CCM inapomjibu Lissu anawasha moto zaidi

Uchaguzi 2020 Hoja za Tundu Lissu Bagamoyo ni mwiba mchungu kwa CCM. CCM inapomjibu Lissu anawasha moto zaidi

Mkutano wa Tundu Lissu akiwa Bagamoyo umenikatisha tamaa kwa hoja zake zisizo na majibu bali zinahitaji utekelezaji wa Serikali.

Mosi, Tundu Lissu anasema wananchi wa barabara ya Kimara wengi wamekufa kwa presha baada ya nyumba zao kubomolewa na viongozi wa CCM kupitia mamlaka kuu,Anasisitiza hawakulipwa pesa kosa barabara.

Pili, Tundu Lissu anasisitiza walimu na mapolisi kwa miaka mitano hawajaongezewa kitu chochote ,na wakati wa Mei Mosi hujibiwa kwa kiburi tunajenga barabara.

Tatu, Tundu Lissu amewauliza wananchi hali ya maisha yao na wafanyabiashara wanaonaje,Wananchi wamejibu hali ni ngumu sana

Nne, Anatuhumu kuwa pesa na michango ya Corona imeliwa yote waliyochangisha wana CCM na Mamlaka Kuu. Anasema madaktari na manesi waliahidiwa wakati wa corona kulipwa lakini mpaka sasa hawajalipwa hata senti tano.

Hii ya Bagamoyo leo Tundu Lissu lengo lake ni kumjibu Mama Samia Suluhu kwa hotuba zake Lindi.

Kwa hoja na kauli ngumu kama hizi za Tundu Lissu nani atazijibu?

Mzee Yusuf Makamba amejitokeza leo kujibu lakini utamuonea huruma hana la kujibu wala namna bali kutifurahisha vijana.

Mzee Makamba anasema CCM ndio imejenga uwanja wa Rais Chato na sio Rais kajenga, amesisitiza kuwa Chato ni Tanzania

Mzee Makamba anasema mbuga ya Chato ni ongezeko la vivutio kwani lile pori lilikuwa tupu wanakaa majambazi.

CCM kama chama changu tuache kumjibu huyu mtu majukwaani tuongelee yetu.

Mbona suala la hotuba yake Zanzibar tumekaa kimya na yeye mwenyewe kapotezea, tungejibu ishu ya Zanzibar angetupa taabu sana.
" tungejibu ishu ya Zanzibar angetupa taabu sana".
Lazima atawapa taabu sana maana hoja zake mmemtengenezea wenyewe. Wasiojulikana walisha fahamu uzito/ugumu wa hoja zake ndio maana hawakutaka aendelee kuishi, lakini mungu akawaambia tulieni muda wake bado na kuna watanzania ambao wanamuhitaji.
 
Huyo aliyekodi helikopta kumpeleka kibaha haujamwona?
Kukodi helicopter kuna thaman sawa na kumiliki land cruiser 2020 model 60.?zikiwa hazipiti risasi?wala mabomu ya al shabab?
 
Mkuu, subiri kwenye sanduku ndo utajuwa ulikuwa ni mwiba au kijiti cha nyasi. Na kwa kupitia ndo utaona kama CHADEMA ulikuwa na mgombea wenye faida au kakiingiza chama mkenge? Stay tuned uchaguzi uishe na Magu aapishwe ndo utaikumbuka comment hii.
Kabisaa, Tena bila tume huru
 
Mkutano wa Tundu Lissu akiwa Bagamoyo umenikatisha tamaa kwa hoja zake zisizo na majibu bali zinahitaji utekelezaji wa Serikali.

Mosi, Tundu Lissu anasema wananchi wa barabara ya Kimara wengi wamekufa kwa presha baada ya nyumba zao kubomolewa na viongozi wa CCM kupitia mamlaka kuu,Anasisitiza hawakulipwa pesa kosa barabara.

Pili, Tundu Lissu anasisitiza walimu na mapolisi kwa miaka mitano hawajaongezewa kitu chochote ,na wakati wa Mei Mosi hujibiwa kwa kiburi tunajenga barabara.

Tatu, Tundu Lissu amewauliza wananchi hali ya maisha yao na wafanyabiashara wanaonaje,Wananchi wamejibu hali ni ngumu sana

Nne, Anatuhumu kuwa pesa na michango ya Corona imeliwa yote waliyochangisha wana CCM na Mamlaka Kuu. Anasema madaktari na manesi waliahidiwa wakati wa corona kulipwa lakini mpaka sasa hawajalipwa hata senti tano.

Hii ya Bagamoyo leo Tundu Lissu lengo lake ni kumjibu Mama Samia Suluhu kwa hotuba zake Lindi.

Kwa hoja na kauli ngumu kama hizi za Tundu Lissu nani atazijibu?

Mzee Yusuf Makamba amejitokeza leo kujibu lakini utamuonea huruma hana la kujibu wala namna bali kutifurahisha vijana.

Mzee Makamba anasema CCM ndio imejenga uwanja wa Rais Chato na sio Rais kajenga, amesisitiza kuwa Chato ni Tanzania

Mzee Makamba anasema mbuga ya Chato ni ongezeko la vivutio kwani lile pori lilikuwa tupu wanakaa majambazi.

CCM kama chama changu tuache kumjibu huyu mtu majukwaani tuongelee yetu.

Mbona suala la hotuba yake Zanzibar tumekaa kimya na yeye mwenyewe kapotezea, tungejibu ishu ya Zanzibar angetupa taabu sana.
CCM nadhani wakati wa utawala wao, walisahau kwamba kuna wakati utakuja itabidi kuwapigia magoti hao tunaonyima watoto wao ajira, hao tunao waibia ela zao kwenda kujenga chato, hao tunao wauzia vitambulisho vya ujasiliamali, hao tunao wanyima wazazi wao nyongeza ya mishahara. hao tunao waibia ela zao za korosho, Hakika wana madudu mengi ,
 
Viva Magu
Viva CCM

Heil JPM
CCM nadhani wakati wa utawala wao, walisahau kwamba kuna wakati utakuja itabidi kuwapigia magoti hao tunaonyima watoto wao ajira, hao tunao waibia ela zao kwenda kujenga chato, hao tunao wauzia vitambulisho vya ujasiliamali, hao tunao wanyima wazazi wao nyongeza ya mishahara. hao tunao waibia ela zao za korosho, Hakika wana madudu mengi ,
 
Kwel polepole umesikika huku mkiongozana na wasanii zaidi ya 200
View attachment 1565570
Sawa Bwashehe.....CCM can not waste her time to answer somebody shit, kazi yao ni moja tuu, kuwafikia wapiga kura walipo na kuwatatulia shida zao ..... Hakuna impact yyte ya sera Kwa mda uliobaki... Ni kushikilia ulicho nacho
 
Lissu akitega tu John anaingia mazima.

Mpaka aibu yaani imekuwa kama Lissu ndiyo incumbent president na john ndiyo anafight kuingia ikulu. Ila jamani lets be honest john ndiyo kibuyu kuliko wote katika presidents tuliowahi kuwa nao. Halafu cha ajabu yeye ndiyo mwenye vyeti kuliko wote. Alivitoa wapi vyeti kwa uweo ule wa kufikiri?
 
View attachment 1565570
Sawa Bwashehe.....CCM can not waste her time to answer somebody shit, kazi yao ni moja tuu, kuwafikia wapiga kura walipo na kuwatatulia shida zao ..... Hakuna impact yyte ya sera Kwa mda uliobaki... Ni kushikilia ulicho nacho
Shida zao ni ongezeko la mishahara, ajira, mfumuko wa bei miaka 5 imekatika unaongeza mbuga? Viwanja vya ndege shit are you serouos?
 
Ccm mnajiamini kwasababu mnauhakika tume itawabeba. Kama uchaguzi ungekuwa wa haki yaani mnatoka madarakani asubuhi tu
Mkuu, subiri kwenye sanduku ndo utajuwa ulikuwa ni mwiba au kijiti cha nyasi. Na kwa kupitia ndo utaona kama CHADEMA ulikuwa na mgombea wenye faida au kakiingiza chama mkenge? Stay tuned uchaguzi uishe na Magu aapishwe ndo utaikumbuka comment hii.
 
Hii picha inatrend lakini ni fully photo shop yaan aliyekata Kata na kuunga Hana weledi na kucheza na picha.

Upo sahihi Mkuu wana jitahidi kubadili mwonekano wa Kondoo lakini ime shindikana.
 
Lisu kawachanganya. Tangia lini CCM ikajenga kiwanja cha chato? Watuonyeshe hati ya malipo kwa makandarasi tuone kama wamelipwa na CCM kama siyo serikali. Wamevurugwa!
Achana na vituko, weka Ilani hapa tujadiki hizo Sera zulizomo kama zitaleta mabadiliko iwapo zinatekelezeka. Kwa mfano utoaji wa bima ya afya kwa kila mwananchi wakati huduma ya afya ni duni (miundo mbinu, vifaa tiba, madawa na wa wahudumu)?
 
Shida zao ni ongezeko la mishahara, ajira, mfumuko wa bei miaka 5 imekatika unaongeza mbuga? Viwanja vya ndege shit are you serouos?
Kwa hyo unataka uongezewe mshahara, ? Unataka serikali kila anayehitimu imuajiri? Mfumuko wa bei unaweza kuudhibitije effectively ?? Taja nchi iliyodhibiti mfumuko wa bei bas, tumia akili kufikr , ukiona mshahara mdogo Acha kazi Fanya issue nyingine
 
Back
Top Bottom