Hoja za waenda kwa waganga na wanaoutumaini uchawi

Hoja za waenda kwa waganga na wanaoutumaini uchawi

Restless Hustler

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
5,150
Reaction score
20,025
Kwa kawaida Huwezi Kumlazimisha mtu kuamini kile unachokiamini au kuiacha njia anayoiona yeye ni sahihi alafu wewe umuambie amepote!

Kwa muda mrefu tumekuwa tukiwasikia wanaoenda kwa waganga na kutumainia nguvu za giza. Tukiwauliza wengi wao kwamba wanasema:

1. Mungu amesema nisaidie nikusaidie; kauli hii inashangaza kwani kwenye vitabu vya dini kuu mbili haipo, sasa kama haipo wao waliitoa wapi? Au labda kwa Hinduism na Buddhism?! Hata hivyo, kama hiyo kauli iliandikwa kwenye vitabu vya hizo dini, nakua najiuliza Mungu alishindwa nini hadi aombe msaada kwetu?! Je kwenda kwa mganga na kuzitumaini njia za giza ni kumsaidia Mungu?!

2. Waganga waliumbwa na Mungu ili watusaidie sisi; Hii ni hoja nyingine inayoshangaza kwani hao waganga wanategemea mashetani kuwapa information za wateja na formula za utatuzi wa matatizo yao. Laiti wangemtegemea Mungu ingekuwa rahisi kusadiki kwamba ni Mungu ndiye aliwapa kazi hiyo.

Na Hizo ndizo hoja zao kuu mbili. Kama kuna nyingine tuongeze
 
Kwa kawaida Huwezi Kumlazimisha mtu kuamini kile unachokiamini au kuiacha njia anayoiona yeye ni sahihi alafu wewe umuambie amepote!

Kwa muda mrefu tumekuwa tukiwasikia wanaoenda kwa waganga na kutumainia nguvu za giza. Tukiwauliza wengi wao kwamba wanasema:

1. Mungu amesema nisaidie nikusaidie; kauli hii inashangaza kwani kwenye vitabu vya dini kuu mbili haipo, sasa kama haipo wao waliitoa wapi? Au labda kwa Hinduism na Buddhism?! Hata hivyo, kama hiyo kauli iliandikwa kwenye vitabu vya hizo dini, nakua najiuliza Mungu alishindwa nini hadi aombe msaada kwetu?! Je kwenda kwa mganga na kuzitumaini njia za giza ni kumsaidia Mungu?!

2. Waganga waliumbwa na Mungu ili watusaidie sisi; Hii ni hoja nyingine inayoshangaza kwani hao waganga wanategemea mashetani kuwapa information za wateja na formula za utatuzi wa matatizo yao. Laiti wangemtegemea Mungu ingekuwa rahisi kusadiki kwamba ni Mungu ndiye aliwapa kazi hiyo.

Na Hizo ndizo hoja zao kuu mbili. Kama kuna nyingine tuongeze
#2 ilitakiwa iwe hivi. "Mungu aliyaumba mashetani ili yawasaidie waganga kutatua matatizo yetu."
 
Wacha wanaofanikisha mambo yao kwa waganga wafanye hivyo

Ukiulizwa Mungu alituleta duniani ili tusurubike utawajibu nini?

Kuna wengine wanatembea kwa miguu kwa sababu hawana nauli wakati wengine wanatembea kwa miguu kupunguza shibe.

Wanaokwenda kwa waganga waachieni Mungu mwenyewe hakuweka usawa duniani.
 
Binadam hana kosa lolote, hata afanye kitu gani, ila tatizo lipo mahali limejificha.. dini na uchawi ni kitu kimoja, ni sawa na makampun ya simu lazima kuwe na ushindani, but huduma itolewayo ni moja.
 
Mtoa Mada hujui kama waganga wanarahisisha ugumu wa maisha, bila waganga hari ingekuwa Tete Sana wachawi wangetuonea Sana, hivi hujui hii Leo watu kupeleka posa au Barua ya kumposa binti wanatumia nguvu za kiganga ili Barua isikataliwe? Ukisema ngoja Mungu atanipa utachelewa Sana mtoa Mada, whitch Dr simplify the hard life.
 
Kwa kawaida Huwezi Kumlazimisha mtu kuamini kile unachokiamini au kuiacha njia anayoiona yeye ni sahihi alafu wewe umuambie amepote!

Kwa muda mrefu tumekuwa tukiwasikia wanaoenda kwa waganga na kutumainia nguvu za giza. Tukiwauliza wengi wao kwamba wanasema:

1. Mungu amesema nisaidie nikusaidie; kauli hii inashangaza kwani kwenye vitabu vya dini kuu mbili haipo, sasa kama haipo wao waliitoa wapi? Au labda kwa Hinduism na Buddhism?! Hata hivyo, kama hiyo kauli iliandikwa kwenye vitabu vya hizo dini, nakua najiuliza Mungu alishindwa nini hadi aombe msaada kwetu?! Je kwenda kwa mganga na kuzitumaini njia za giza ni kumsaidia Mungu?!

2. Waganga waliumbwa na Mungu ili watusaidie sisi; Hii ni hoja nyingine inayoshangaza kwani hao waganga wanategemea mashetani kuwapa information za wateja na formula za utatuzi wa matatizo yao. Laiti wangemtegemea Mungu ingekuwa rahisi kusadiki kwamba ni Mungu ndiye aliwapa kazi hiyo.

Na Hizo ndizo hoja zao kuu mbili. Kama kuna nyingine tuongeze
nimesoma lakini bado sijaelewa umeandika makitu gani?
 
Wacha wanaofanikisha mambo yao kwa waganga wafanye hivyo

Ukiulizwa Mungu alituleta duniani ili tusurubike utawajibu nini?

Kuna wengine wanatembea kwa miguu kwa sababu hawana nauli wakati wengine wanatembea kwa miguu kupunguza shibe.

Wanaokwenda kwa waganga waachieni Mungu mwenyewe hakuweka usawa duniani.
Mkuu wewe huna utofauti na Warumi liyejinadi kwamba alipewa na mganga dawa za kurefusha maisha hivyo alitarajia kuishi miaka 70-100. Cha ajabu akafa kabla yetu
 
Mtoa Mada hujui kama waganga wanarahisisha ugumu wa maisha, bila waganga hari ingekuwa Tete Sana wachawi wangetuonea Sana, hivi hujui hii Leo watu kupeleka posa au Barua ya kumposa binti wanatumia nguvu za kiganga ili Barua isikataliwe? Ukisema ngoja Mungu atanipa utachelewa Sana mtoa Mada, whitch Dr simplify the hard life.
Mganga ni mchawi wa level ya juu. Ukienda kwake anachokifanya ni kukutatulia tatizo lako moja kisha baadae atakurushia tatizo zaidi ya moja ili urudi kwake. Ndiyo maama mtu akishaanza kwenda kwa waganga ni ngumu kuacha.
 
Back
Top Bottom