Hoja za waenda kwa waganga na wanaoutumaini uchawi

Hoja za waenda kwa waganga na wanaoutumaini uchawi

Wacha wanaofanikisha mambo yao kwa waganga wafanye hivyo

Ukiulizwa Mungu alituleta duniani ili tusurubike utawajibu nini?

Kuna wengine wanatembea kwa miguu kwa sababu hawana nauli wakati wengine wanatembea kwa miguu kupunguza shibe.

Wanaokwenda kwa waganga waachieni Mungu mwenyewe hakuweka usawa duniani.
Umesahau wengine wanatembea peku ni masharti ya mganga.
 
Mganga ni mchawi wa level ya juu. Ukienda kwake anachokifanya ni kukutatulia tatizo lako moja kisha baadae atakurushia tatizo zaidi ya moja ili urudi kwake. Ndiyo maama mtu akishaanza kwenda kwa waganga ni ngumu kuacha.
Hapo umenena hata sikupingi ila tambua Kuna watu shirki ndiyo jadi yao, yaani Kila kitu mtu akitaka kufanya lazima atumie shirk yaani iwe kupata mwenza wa kuowa au kuolewa naye lazima shirk ushirkina utumike, yaani Kuna watu wanaenda mbali Hadi familia zao yaani ukoo mzima unamsikiliza yeye tuu hata kama akikohoa wanasema yes, hivi unafikiri akina Mshana Jr wanapata comment nyingi kwenye Newz zao unadhani ni kawaida?

Note; Kuna member humu jf nawafahamu ni wachawi wakutupwa wengine wanamiliki Hadi mapete ya Bahati na mvuto.
 
Hapo umenena hata sikupingi ila tambua Kuna watu shirki ndiyo jadi yao, yaani Kila kitu mtu akitaka kufanya lazima atumie shirk yaani iwe kupata mwenza wa kuowa au kuolewa naye lazima shirk ushirkina utumike, yaani Kuna watu wanaenda mbali Hadi familia zao yaani ukoo mzima unamsikiliza yeye tuu hata kama akikohoa wanasema yes, hivi unafikiri akina Mshana Jr wanapata comment nyingi kwenye Newz zao unadhani ni kawaida?

Note; Kuna member humu jf nawafahamu ni wachawi wakutupwa wengine wanamiliki Hadi mapete ya Bahati na mvuto.
Ushirikina ni ushetani
 
Ushirikina ni ushetani
Ila unamanufaa kwa baadhi ya watu, unajua Kuna watu walishawasom Binadamu ni watu waina gani hivyo kupitia ushirikina hawapati tabu kabisa, Kuna watu wamewafunga waume zao/ wake zao ili kunusuru amani ya Moyo, na hayo yote yanawezekana kwa Waganga wa kienyeji, Kuna watu walishajitengeneza ili wapendwe na Kila mtu na hii nikutokana na chuki na hasadi zilizo tamalaki ktk jamii. Yaani mkuu kwa muda ambao nimeishi hapa kwa Dunia nimeona vioja vingi Sana, Kuna baadhi ya koo hawajuagi kutongoza yaani mtu ahangaike na msichana mwaka mzima sijui hiyo hawanaga yaani mtu akishavutiwa na Binti Fulani basi kazi yake yeye nikwenda na Tunguri ktk Nyumba anayoishi Mhusika theni manuizi yanafanyika hapo, basi mlengwa likashampata jamaa hapati tabu nikumtokea mtu unashangaa anakuchekea wakati hata hamjuani kiundani.

Mkuu naomba niishie hapo nisije kuonekana natoa Siri za watu mie ila tambua Kuna watu wanaishi ilihari walishageuzwa misukule kitambo wengine wanatumikishwa kingono pasi wao kujua.
 
Ukikosa màarifa utakuwa mteja wa waganga na mitume na manabii feki
Huu ni ukweli mkuu, nilipoanza kazi nilikuta karibu watu wote ofisini wanahusudu huo upuuzi. Wakawa wananifuata Kila mmoja kwa muda wake kunishauri niende kwa waganga vinginevyo kiti kitakuwa cha moto. Nilibaki kuona huruma Sana. Sasa hivi wananiuliza mganga wangu ni yupi nao waende nacheka tu kimoyomoyo.
 
Huu ni ukweli mkuu, nilipoanza kazi nilikuta karibu watu wote ofisini wanahusudu huo upuuzi. Wakawa wananifuata Kila mmoja kwa muda wake kunishauri niende kwa waganga vinginevyo kiti kitakuwa cha moto. Nilibaki kuona huruma Sana. Sasa hivi wananiuliza mganga wangu ni yupi nao waende nacheka tu kimoyomoyo.
Ulikomaa na maombi tu..?!
 
Kwani shetani anaishi kwa nguvu za nani, Binadamu hatuna dhambi yoyote ile
 
Kumekucha Salama
Comments Fupi Fupi Twende Chap Tufike Pages 100
 
Ulikomaa na maombi tu..?!
Nilikuwa nawauliza maswali ambayo walikuwa wanashindwa kujibu mfn, unaenda kwa mganga ili usifanye kazi ila uonekane unafanya kazi?, Unaenda kwa mganga ili ukifanya kazi ionekane Mara mbili?, Unaenda kwa mganga ili uwe boss? Wote wanaishia kunijibu mara sijui Bado mtoto ndo Kwanza Nina miezi kazini ngoja nizoee nitajua yote hayo. Siku zilivyozidi kwenda nazidi kung'aa mpaka nakuwa boss wao. Hapo ndo wakaanza kuniuliza mganga wangu.
 
Watu wa pwani duuu!!! ofisini haingii bila kujipaka madawa ya kienyeji halafu yana harufu moja sijui mganga wao ni mmoja?



Kwani Watu wa bara wao kwao hakuna Uchawi na ushirikina?

Mbona nasikia huko ndio mnaongoza Pwani wanajikongoja? Kwa uchawi na ushirikina!
 
Watu wa pwani duuu!!! ofisini haingii bila kujipaka madawa ya kienyeji halafu yana harufu moja sijui mganga wao ni kienyejit

Kwa hiyo sisi watu wa bara hatujipaki madawa ?!!!😲😲🤣🤣

Hayaa mkuu....ila dunia ni pana na kila siku mpya huwa na mafunzo na ya kujifunza kwa anapenda udadisi.

Peace👍
 
Nilikuwa nawauliza maswali ambayo walikuwa wanashindwa kujibu mfn, unaenda kwa mganga ili usifanye kazi ila uonekane unafanya kazi?, Unaenda kwa mganga ili ukifanya kazi ionekane Mara mbili?, Unaenda kwa mganga ili uwe boss? Wote wanaishia kunijibu mara sijui Bado mtoto ndo Kwanza Nina miezi kazini ngoja nizoee nitajua yote hayo. Siku zilivyozidi kwenda nazidi kung'aa mpaka nakuwa boss wao. Hapo ndo wakaanza kuniuliza mganga wangu.
Sawa....

Kwani kuna uganga wa mtu kuwa ENGINEER bila ya kusomea ?!!!

Uganga hufanya kazi pale penye SABABU NA SIFA STAHIKI....

Peace👍
 
Mganga ni mchawi wa level ya juu. Ukienda kwake anachokifanya ni kukutatulia tatizo lako moja kisha baadae atakurushia tatizo zaidi ya moja ili urudi kwake. Ndiyo maama mtu akishaanza kwenda kwa waganga ni ngumu kuacha.
Kwani uchawi ni nini ?!!!
 
Back
Top Bottom