Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Comment hii inatafakarisha kwa mwenye kutafakari.....Binadam hana kosa lolote, hata afanye kitu gani, ila tatizo lipo mahali limejificha.. dini na uchawi ni kitu kimoja, ni sawa na makampun ya simu lazima kuwe na ushindani, but huduma itolewayo ni moja.
🤣🤣Wacha wanaofanikisha mambo yao kwa waganga wafanye hivyo
Ukiulizwa Mungu alituleta duniani ili tusurubike utawajibu nini?
Kuna wengine wanatembea kwa miguu kwa sababu hawana nauli wakati wengine wanatembea kwa miguu kupunguza shibe.
Wanaokwenda kwa waganga waachieni Mungu mwenyewe hakuweka usawa duniani.
Hao wote ni agents wa ibilisi, kwa hiyo wanafanya kilekile anachofanya mkuu wao, kusema uwongo na kupotosha kweli ya Mungu......Kwa kawaida Huwezi Kumlazimisha mtu kuamini kile unachokiamini au kuiacha njia anayoiona yeye ni sahihi alafu wewe umuambie amepote!
Kwa muda mrefu tumekuwa tukiwasikia wanaoenda kwa waganga na kutumainia nguvu za giza. Tukiwauliza wengi wao kwamba wanasema:
1. Mungu amesema nisaidie nikusaidie; kauli hii inashangaza kwani kwenye vitabu vya dini kuu mbili haipo, sasa kama haipo wao waliitoa wapi? Au labda kwa Hinduism na Buddhism?! Hata hivyo, kama hiyo kauli iliandikwa kwenye vitabu vya hizo dini, nakua najiuliza Mungu alishindwa nini hadi aombe msaada kwetu?! Je kwenda kwa mganga na kuzitumaini njia za giza ni kumsaidia Mungu?!
2. Waganga waliumbwa na Mungu ili watusaidie sisi; Hii ni hoja nyingine inayoshangaza kwani hao waganga wanategemea mashetani kuwapa information za wateja na formula za utatuzi wa matatizo yao. Laiti wangemtegemea Mungu ingekuwa rahisi kusadiki kwamba ni Mungu ndiye aliwapa kazi hiyo.
Na Hizo ndizo hoja zao kuu mbili. Kama kuna nyingine tuongeze
😲🤣🤣Hao wote ni agents wa ibilisi, kwa hiyo wanafanya kilekile anachofanya mkuu wao, kusema uwongo na kupotosha kweli ya Mungu......
Mungu ni hakika japo uchelewa mujibu, shetani haraka lakini ni majutoDuniani hakuna lolote linalofanikiwa bila ya mkono wa Mwenyezi Mungu.....
Kwani huyu Lucifer anayetusumbua anapewa/amepewa nguvu na nani zaidi ya Mwenyezi Mungu?!!!
Mh nawaogopaga mi wanaume wenye mipete ya kijan ,cjui nyekundu uwii Mungu tulindeHapo umenena hata sikupingi ila tambua Kuna watu shirki ndiyo jadi yao, yaani Kila kitu mtu akitaka kufanya lazima atumie shirk yaani iwe kupata mwenza wa kuowa au kuolewa naye lazima shirk ushirkina utumike, yaani Kuna watu wanaenda mbali Hadi familia zao yaani ukoo mzima unamsikiliza yeye tuu hata kama akikohoa wanasema yes, hivi unafikiri akina Mshana Jr wanapata comment nyingi kwenye Newz zao unadhani ni kawaida?
Note; Kuna member humu jf nawafahamu ni wachawi wakutupwa wengine wanamiliki Hadi mapete ya Bahati na mvuto.
Hahah Hilo nalo nenoUnatumika uchawi ili kupata waumini wengi wa kuwahubiria habari za Mungu.
Ina maana hospital hivyo hivyo?Mganga ni mchawi wa level ya juu. Ukienda kwake anachokifanya ni kukutatulia tatizo lako moja kisha baadae atakurushia tatizo zaidi ya moja ili urudi kwake. Ndiyo maama mtu akishaanza kwenda kwa waganga ni ngumu kuacha.
Umesema vyema!! akizidisha ungana nae!.....nawe uweMganga ni mchawi wa level ya juu
Kweli mkuu, ila kwangu Sina uhakika Kama naweza hata kujaribu kitu hicho.Sawa....
Kwani kuna uganga wa mtu kuwa ENGINEER bila ya kusomea ?!!!
Uganga hufanya kazi pale penye SABABU NA SIFA STAHIKI....
Peace👍