Upinzani huu hauna nguvu ila kwenye chaguzi tu tena chaguzi ndogo unaua hadi mwanafunzi ili kupora jimbo, unatumia watendaji kuondoa majina yao na dhulma kibao. Halafu unajidai umeshinda, aisee! Mwendawazi si lazima aokote makopo.Upinzani wetu huu ni pesa tu,hawana malengo ya kushika dola ndio maana toka 1995 hadi 2000 hatuna upinzani wa maana, watu wanawaza ruzuku tu na kupigana kila mara at the end vyama vinakufa.
Wewe mzalendo uchwara mwambie Waitara amuambie bwana wake mwenye vyombo vya ulinzi na usalama alete uthibitisho Mbowe apelekwe mahakamani. Sometimes mnakuwa wajinga kupitiliza. Aliyetoa tuhuma awe na. Uthibitisho wa anayoyasema. Ukinifungulia mashtaka mimi nitakataa kosa ila wewe unayetuhumu ndiyo uje na ushahidi.Kwann mbowe asilete nyaraka ili kuwa prove wrong wanao sema ni mwiz Kama tuhuma Sio za kweli aje na ushaid hela amezitumia vip akiweza nahamia chadema [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu yote haya yanasababishwa na ujinga wa watanzania yaani MIJITU mijinga mpaka kichefuchefu.sasa Jinga kama hili waitara nalo kwa sababu linajua kuna majinga zaidi yake yataamini lolote analosema yatakubali basi linalopoka tu. Na tatizo kuu ni Mbowe kugoma kuabudu kimungu chao.Propaganda tu nilidhani ana nyaraka kumbe anatutuma kwa Gwajima!!
Anadai Mbowe ametapeli pesa za kampeni ilihali Waitara bado alikubali kugombea kupitia CHADEMA!!
Hvi tuhuma nzito hivi unadhani Dr Slaa asingezimwaga siku anasepa ama Zitto?
Dr Mashinji alikua katibu mkuu hajayasema hya sembuse hyu aliyekua subordinate tu.
Ifike mahala hawa waropokaji wafaiwe nyaraka kuthubitisha maana kma CAG anakagua mahesabu afu haoni huu ubadhirifu ila wanasiasa ndio wanauona basi nchi yetu ina matatizo mazito zaidi.
CCM jaribuni zaidi, Kma Dr Slaa alifeli sidhani kuna press conference ya kuivunja CHADEMA.
Kuna yule Naibu waziri alisema CHADEMA walimdhuru Lissu nashangaa polisi haijamuita kusaidia upelelezi na kosa la kuiba evidence eneo la tukio.
Unachomwambia AWEZI kuelewa huyo mzalendo uchwara kashajambiwa ushuzi wa ujinga anaona wa kuleta ushahidi ni mbowe siyo waitara. ILA CCM HONGERA ZAO WAKISHAWAJAMBIA WATU USHUZI WA UJINGA YANAKUWA MAZEZETA NDIYO MAANA HATA YAKITUMWA KUUWA HAYAJIULIZI. Saa ujinga kama huu hata akilini kwa wenye AKILI hauingii kabisa.Wewe mzalendo uchwara mwambie Waitara amuambie bwana wake mwenye vyombo vya ulinzi na usalama alete uthibitisho Mbowe apelekwe mahakamani. Sometimes mnakuwa wajinga kupitiliza. Aliyetoa tuhuma awe na. Uthibitisho wa anayoyasema. Ukinifungulia mashtaka mimi nitakataa kosa ila wewe unayetuhumu ndiyo uje na ushahidi.
Sema kipi uongo na kipi ni kweli kwa aliyo yasema naona unarusha rusha matiti
Wewe mzalendo uchwara mwambie Waitara amuambie bwana wake mwenye vyombo vya ulinzi na usalama alete uthibitisho Mbowe apelekwe mahakamani. Sometimes mnakuwa wajinga kupitiliza. Aliyetoa tuhuma awe na. Uthibitisho wa anayoyasema. Ukinifungulia mashtaka mimi nitakataa kosa ila wewe unayetuhumu ndiyo uje na ushahidi.
Hvi unajitambua? Sasa ww umeambiwa umetumiwa 700M kutoka Japan sasa unathibitishaje wakati hujawahi?
Huwezi thibitisha kitu ambacho hakipo unless angesema labda nyumba A amepora chama hapo sawa maana angethibitisha kwa nyaraka za malipo na mkataba.
Uthibitisho ni CAG..... Ametoa hati SAFI kwa CHADEMA sasa unataka tumuamini msomi na vijana wake ama mwanasiasa asiyejua hata deni linarekodiwa kwenye eneo gani la financial statement!!
Eti inarekodiwa 50m kila mwezi kwenye book of accounts!! Alafu interest vipi? Kazi sana hawa mawaziri wetu afu shida nyie vijana mnashabikia tu hta kuhoji nyaraka mnashindwa.
Tumuamini CAG aliyetoa hati safi sio mtu anayeropoka bila nyaraka.
Ina maana CAG hakuona deni safi?
Mkuu ww ni mtu makini sitegemei uamini propaganda bila ushahidi
Usitegemee kuna siku mbowe atjibu tuhuma za kipuuzi kama hizoAje akanushe mbona hoja zingine hakaagi hata siku moja billa kuongea aje mbele za watu aseme Sio kweli Kama kweli yeye hajapiga mkwanja
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anasoma tu karatasi ndio ushahidi? Kwanini asingerekodi maongezi ayapeleke dawati la jinsia ama tume ya maadili ama kamati ya bunge ya jinsia ili kina Mbowe washtakiwe??Mkuu zitto junior, nakubalina nawe kuwa na hawa wabunge nao walete humu JF ushahidi.
Ndio nini hiki umeandika?CAG Yule alikua mtu wenu bandindu mwenzenu ndiomana mlimpigia Sana promo tunajua kua alikua sehemu ya mchakato wa mbowe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo tuhuma akanushe mara ngapi? Alishaeleza toka kipindi cha kina Juliana shonza na Zitto hii hoja ilishachuja hakuna mtu makini anayeamini.Aje akanushe mbona hoja zingine hakaagi hata siku moja billa kuongea aje mbele za watu aseme Sio kweli Kama kweli yeye hajapiga mkwanja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama jambazi toka kipindi hicho mbona wanamuacha tuu ?Hizi hoja tokea enzi za Chacha Wangwe. Mbowe ni jambazi la majambazi. Yaani ndo maana CCM itaendelea kututawala. Kilio changu waruhusu wagombea binafsi. Hivi vyama wizi mtupu.
Nguvu ya pesa. Baba mkwe ndo mwenye chama. Anyway chama cha familia. Na kajiwekea nguvu kiasi kwamba hapingiki.
Nguvu ya pesa. Baba mkwe ndo mwenye chama. Anyway chama cha familia. Na kajiwekea nguvu kiasi kwamba hapingiki.
Unauliza ndevu kwa Osama ?Hadi serikali anawarubuni?. Serikali zetu zina changamoto kubwa sana.
Ko tutafute nguvu ya pesa tuu ili tusipate tabu kwa serikali...
Sent using Jamii Forums mobile app