Hoja zangu dhidi ya tuhuma zinazoenezwa na Maria Sarungi

Hata yeye huyu mama anaujua ukweli, maza pale Magogo yamejaza watu wa Ijumaa wanafanya mambo ya hovyo sn kwa kigezo cha dini
Wacha udini wewe mfia dini.Jibu hoja kwa hoja.Ukiona mtu anakimbilia dini au ukabila jua mtu huyo ni zuzu tu asiye na hoja zenye uzito.
 
Wewe dada angu umetoa hoja gani nzito?
Wacha udini na ukabila wewe zezeta.Aliyeandika hoja zake zijibu.Mimi napinga ujinga wako badala ya kumpinga mleta hoja kwa hoja unakimbilia udini.Au hujaelewa hoja iliyoletwa?
Wisdom is chasing you but you are always faster. Dundee United.
 
Wacha udini na ukabila wewe zezeta.Aliyeandika hoja zake zijibu.Mimi napinga ujinga wako badala ya kumpinga mleta hoja kwa hoja unakimbilia udini.Au hujaelewa hoja iliyoletwa?
Wisdom is chasing you but you are always faster. Dundee United.
Sister sijakuelewa hapa
 
Reactions: Tui
Rudi shule kama hujaelewa kilichoandikwa.Ndio madhara ya kukimbia umande.Unadhihirisha kiasi kidogo cha uelewa ulichonacho.Ndio maana unakimbilia udini,ukabila na kejeli.
Nianze na la ngapi dada angu?
 
Jibuni hoja za Maria wekeni datana usahidi ili ku clear all conspiracies.

Mr secretary is doing a great job ila ingependeza akawa behind the curtain kama marehemu Adam G . Isara aliyekuwa secretary wa Kikwete hii ya kuonekana sana.kwemye picha makonda style ndio.imeleta grapevine nyingi za kina steve nyerere n.k

Na mkiwa viongozi zama hizi ambazo information can be faked and spread inabidi muwe na ngozi ngumu ya kuzisikia iwe mnapenda au hampendi
 
Mkuu unapata tabu na maria aliyesomeshwa na pesa za serikali baba yake anakula pensheni na kutibiwa na serikali mzushi tu!
 
Kwa huyo WRS, tuhuma zake nyingi zinazotajwa ni kweli. Na hata OR imeanza kuwa makini na OBR kwa sababu ya Waziri kutumia vibaya OBR.

Rejea deal waliyopewa akina Steve Nyerere, Idris Sultan, Irene Uwoya etc la hela nyingi na wala halikufuata tatatibu za manunuzi, WRS aliamua tu.

Baada ya OR kuwaengua akina Steve Nyerere kwenye ziara ya Rais Korea Rep, si yeye WRS akatumia OBR kuunda ziara nyingine ya akina Steve kwenda Korea Rep, bila ajenda?

WRS anatumia vibaya nafasi ya kuwa amefanya kazi na mama kwa muda mrefu, anaona yuko juu ya wote na kwa bahati mbaya haonywi kwa tabia yake.

WRS na Waziri ambaye ni 'mkwe wa mama' walitumia pesa za mikopo ya wasanii kuwapa hata wasioomba na wala kupeleka nyaraka. Hadi sasa mikopo hailipiki na Mfuko umefilisika.

Aseme, ni sababu zilifanya alihimize akina Wolper na Uwoya wapewe mikopo ya wasanii bila kuomba? Na hadi sasa hawafanyi marejesho?

Aseme zilifikaje kwa Steve Nyerere taarifa za Mzee Ruksa, kuwa anasubiri saa yake ya mwisho? Hadi akapost mapema ujumbe wa msiba wake?

Kumtetea bila kumwonya hakumsaidii yeye, serikali wala Taifa.

Ova
 
Rest in heaven le king of social media Le mutuz kokobanga hakika pengo lako hakuna aliyeweza kuliziba maana ilikuwa wewe na.musiba bomu la.machozi ndio mnajibu mapigo

Na uchaguzi unakuja ungevuna pesa za mbogamboga mzee wa bata batani hanging out with super mtindiz, son of the king, case closed. Zuchu angesikia faraja ungewachana vijana wa hovyo wa mbeya
 
Mbona hakuna hoja hapa ila ngonjera tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…