HOLLYWOOD MOVIES: kwa nini huwa wanaweka filter za rangi za ajabu ajabu hasa kwenye scenes au movies zinazohusu Africa, India, .......?

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa movies utagundua jambo hili. Movie au vipande vingi vya sinema vinavyohusu nchi zisizo za kimagharibi utakuta wameweka rangi kama kuna vumbi vumbi😀. Hivi huwa wanatuonaje? Mfano huu hapa chini


Moja ya picha ya kipande toka kwenye kampuni kubwa ya kutengeneza movies duniani.


Hapo ni South Africa 😂
 
Wengi hawajawahi kufika Africa so wanaendeleza kile walichokuta watangulizi wao wanafanya
Wakionesha E.Africa wanaonesha Maasai
 
Wabaguzi tu hao. Wanapenda kuonyesha kuwa africa hakuna maisha bali mfano wa maisha.
 
SIONI SABABU YA KUJISHUSHA MAANA MTOA MADA UNAONESHA NAMNA UNAVYOJIONA SIO WA THAMANI, KASI NI YAO ACHA WAFANYE WATAKAVYO. KAMA HUTAKI KUANGALIA MOVIE ZAO SIMPLE KUNA BONGO MOVIE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…