Holocaust Genocide vs Gaza genocide

Holocaust Genocide vs Gaza genocide

Nangu Nyau

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2022
Posts
5,015
Reaction score
14,139
Dunia ilipiga sana kelele na bado inamshutumu Hittler juu ya mauaji ya wayahudi pale Germany aka Holocaust.
Leo hii Ulaya manazi wanaonekana ni chukizo na wanaandamwa kila mahala juu ya mauaji waliyoyafanya ya wayahudi kwenye concentration camps.

Kwanini Dunia Iko kimya juu ya mauaji na unyanyasaji wa wapalestina pale Gaza?.
Kwanini Dunia inashindwa kuwakamata na kuwashitaki mayahudi Kwa mauaji ya wapalestina?
 
Inaonekana Israel inafanya hivyo kujilinda.
Mauaji ya raia wa gaza yanadababishwa na hamas kuwatumia raia kama human shield, wanarusha rockets toka kwenye makazi ya raia na Israel wanapiga maeneo hayo hayo bila kujali kuwa wanaua raia. Holocaust ilikuwa tofauti, watu walikuwa wanakusanywa toka mitaani na kwenda kuuawa.
 
Dunia ilipiga sana kelele na bado inamshutumu Hittler juu ya mauaji ya wayahudi pale Germany aka Holocaust.
Leo hii Ulaya manazi wanaonekana ni chukizo na wanaandamwa kila mahala juu ya mauaji waliyoyafanya ya wayahudi kwenye concentration camps.

Kwanini Dunia Iko kimya juu ya mauaji na unyanyasaji wa wapalestina pale Gaza?.
Kwanini Dunia inashindwa kuwakamata na kuwashitaki mayahudi Kwa mauaji ya wapalestina?
Wayahudi walimvamia nani kule Ulaya?
 
Dunia ilipiga sana kelele na bado inamshutumu Hittler juu ya mauaji ya wayahudi pale Germany aka Holocaust.
Leo hii Ulaya manazi wanaonekana ni chukizo na wanaandamwa kila mahala juu ya mauaji waliyoyafanya ya wayahudi kwenye concentration camps.

Kwanini Dunia Iko kimya juu ya mauaji na unyanyasaji wa wapalestina pale Gaza?.
Kwanini Dunia inashindwa kuwakamata na kuwashitaki mayahudi Kwa mauaji ya wapalestina?
Wayahudi wamepitia mateso Sana. Farao mwarabu aliwatesa, Akaja Hitler akawatesa kwenye mauaji ya holocaust , Sasa hivi waarabu wamekusanyana dunia nzima na midevu Yao wakiongozwa na Iran wameenda kujichanganya Gaza na hizbula wakiongozwa na Iran eti wamalizw kizazi Cha Taifa la Mungu thubutuuuuu!!!!!!!!!
 
Dunia ilipiga sana kelele na bado inamshutumu Hittler juu ya mauaji ya wayahudi pale Germany aka Holocaust.
Leo hii Ulaya manazi wanaonekana ni chukizo na wanaandamwa kila mahala juu ya mauaji waliyoyafanya ya wayahudi kwenye concentration camps.

Kwanini Dunia Iko kimya juu ya mauaji na unyanyasaji wa wapalestina pale Gaza?.
Kwanini Dunia inashindwa kuwakamata na kuwashitaki mayahudi Kwa mauaji ya wapalestina?
Mbona hujaiona ile genocide ya wayahudi iliyofanywa na hamas october 7 au ilivaa miwani ya mbao kitendo cha hamas kuivamia israel october 7 na kuua wayahudi 1200 na kuwateka 250 na wengine walibakwa, watoto walichomwa moto na bado hamas walirusha maroketi 7000
 
Wayahudi wamepitia mateso Sana. Farao mwarabu aliwatesa, Akaja Hitler akawatesa kwenye mauaji ya holocaust , Sasa hivi waarabu wamekusanyana dunia nzima na midevu Yao wakiongozwa na Iran wameenda kujichanganya Gaza na hizbula wakiongozwa na Iran eti wamalizw kizazi Cha Taifa la Mungu thubutuuuuu!!!!!!!!!

Kwahiyo mtu akipitia mateso sana anaruhusiwa kutesa wengine?

Kati ya mayahudi na WaAfrica ni nani amepitia mateso meengi sana.

Unatumia kipimo gani kusema hilo ni Taifa la Mungu? Mataifa mengine ni mataifa ya shetani?
 
Inaonekana Israel inafanya hivyo kujilinda.
Mauaji ya raia wa gaza yanadababishwa na hamas kuwatumia raia kama human shield, wanarusha rockets toka kwenye makazi ya raia na Israel wanapiga maeneo hayo hayo bila kujali kuwa wanaua raia. Holocaust ilikuwa tofauti, watu walikuwa wanakusanywa toka mitaani na kwenda kuuawa.
Tuwekee picha zikionyesha maroketi ya kitoka kwenye makaazi ya raia.
 
Mbona hujaiona ile genocide ya wayahudi iliyofanywa na hamas october 7 au ilivaa miwani ya mbao kitendo cha hamas kuivamia israel october 7 na kuua wayahudi 1200 na kuwateka 250 na wengine walibakwa, watoto walichomwa moto na bado hamas walirusha maroketi 7000

Tanzania tuliivamia Uganda baada ya Uganda kuivamia na kuua watu wetu.
Mkwawa, Kinjeketile, Abushiri nk walipigana dhidi ya mkoloni.

Hamasi/wapalestina Wana haki ya kujilinda pale wanapoonewa, kwao Israeli ni mvamizi.
Kabla ya huo uvamizi Hamas, Israeli amekuwa akiua kila siku kadili anavyojisikia.

Dunia imechukua hatua gani kuhakikisha haki ya wapalestina inapatikana kabla ya wapalestina kuanza kujitutumua na kudai haki zao?
 
Kwahiyo mtu akipitia mateso sana anaruhusiwa kutesa wengine?

Kati ya mayahudi na WaAfrica ni nani amepitia mateso meengi sana.

Unatumia kipimo gani kusema hilo ni Taifa la Mungu? Mataifa mengine ni mataifa ya shetani?
Hajatesa mtu anajihami baada ya kuvamiwa. Kumbuka Hawa manyangao wavuga ndevu ndio walimuanza yeye alikuwa ametulia tuli. Umemsahau waliwateka mpaka vijana WETU wawili wanafunzi na kuwaua?
 
Gaza hakuna Genocide,habari za Vifo za wapalestina vipo influenced na Hamas.kwa muktadha huo ni ngumu kuwa na Accurated Figure.
 
As long as wanaouliwa ni waislamu, you will never see any serious action taken. Hali ilkuwa hivyo hivyo hata kule Bosnia mwaka 1993 ambapo watu milioni moja waliuwawa na hapo ni katikati ya Europe. Ila angalia Ukraine anvyosapotiwa na kupewa misaada.

Hapo Putin hajaua raia kama Netanyahu lakini keshapelekwa ICJ na warrant ya kukamatwa imetolewa. Lakini Netanyahu anakaribishwa kabisa Ikulu ya white house hali ya kuwa yeye ndio criminal namba moja kuliko hata Putin.

Damu ya waislamu haina thamani mbele ya mabwana wa ulimwengu. Ila haki ya kweli itapatiakana siku ya hukumu ambapo HAKIMU NI MMOJA ASIYEPENDELEA MTU
 
Huko mbali, Hapo SUDAN waafrica weusi waislam wanachinjwa na waafrica waarab wa SUDAN ila tupo kimya kisa anauwawa mtu mweusi na anayeuwa ni muislam muarab
 
Kwahiyo mtu akipitia mateso sana anaruhusiwa kutesa wengine?

Kati ya mayahudi na WaAfrica ni nani amepitia mateso meengi sana.

Unatumia kipimo gani kusema hilo ni Taifa la Mungu? Mataifa mengine ni mataifa ya shetani?
Kwahyo kama wayahudi waliwauwa wapalestina nawao Wana haki ya kufanya mauwaji October 7? Kama ni hivyo acha nao waendelee kufa tu hakuna namna
 
Dunia ilipiga sana kelele na bado inamshutumu Hittler juu ya mauaji ya wayahudi pale Germany aka Holocaust.
Leo hii Ulaya manazi wanaonekana ni chukizo na wanaandamwa kila mahala juu ya mauaji waliyoyafanya ya wayahudi kwenye concentration camps.

Kwanini Dunia Iko kimya juu ya mauaji na unyanyasaji wa wapalestina pale Gaza?.
Kwanini Dunia inashindwa kuwakamata na kuwashitaki mayahudi Kwa mauaji ya wapalestina?
kwa bahati mbaya sana, al jazeera wameharibu kabisa definition ya genocide. in fact, ukisoma genocide convention 1948, kinachotokea gaza sio genocide, ni war crimes na crimes against humanity. hata wewe uliyeandika hapa haujui.
 
kwa bahati mbaya sana, al jazeera wameharibu kabisa definition ya genocide. in fact, ukisoma genocide convention 1948, kinachotokea gaza sio genocide, ni war crimes na crimes against humanity. hata wewe uliyeandika hapa haujui.
Hayo mambo Yako juu ya uwezo wake mkuu.
 
Dunia ilipiga sana kelele na bado inamshutumu Hittler juu ya mauaji ya wayahudi pale Germany aka Holocaust.
Leo hii Ulaya manazi wanaonekana ni chukizo na wanaandamwa kila mahala juu ya mauaji waliyoyafanya ya wayahudi kwenye concentration camps.

Kwanini Dunia Iko kimya juu ya mauaji na unyanyasaji wa wapalestina pale Gaza?.
Kwanini Dunia inashindwa kuwakamata na kuwashitaki mayahudi Kwa mauaji ya wapalesti
Ni kweli Wayahudi waliuwa baada ya kushambulia na kuua wajerumani wasio na hatia kuwachukua mateka kuwabaka na hatimaye kuondaka nao kusikojulikana
Pia waliapa kulifuta kabisa taifa la ujerumani

Ndipo Hitler alipoamuru mauuji ya Wayahudi
 
Back
Top Bottom