Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
- Thread starter
- #21
kwa bahati mbaya sana, al jazeera wameharibu kabisa definition ya genocide. in fact, ukisoma genocide convention 1948, kinachotokea gaza sio genocide, ni war crimes na crimes against humanity. hata wewe uliyeandika hapa haujui.
Ni vizuri ukatupa maana ya genocide, tuanzie hapo kwanza.