Homa imenizidia mie!

Homa imenizidia mie!

Kawimbo kazuri kweli......... Kumbe Rejao huwa inaandikwa $Rejao.
Kumbe tulikuwa tunakosea spelling..................!
 
Kawimbo kazuri kweli......... Kumbe Rejao huwa inaandikwa $Rejao.
Kumbe tulikuwa tunakosea spelling..................!
Dah!! Zinduna anataka watu humu ndani waanze kunitafuta kwa bastola wakifikiri nna kitu!!!
 
Mi niliona potential yako siku nyingi
Those eyez: sharp, bright, sparkling,u can kill someone with passion just with your eyes. Zinduna keshafa

Lol..kila siku hapa linaibuka jipya, hii inatufanya wengine hata tukilala tuwe tunaiota tu JF!
 
Maana yake ni anakakatia mshiko wa kutosha tena sio haya madafu ni madolari

Kawimbo kazuri kweli......... Kumbe Rejao huwa inaandikwa $Rejao.
Kumbe tulikuwa tunakosea spelling..................!
 
Mi niliona potential yako siku nyingi
Those eyez: sharp, bright, sparkling,u can kill someone with passion just with your eyes. Zinduna keshafa
Waaao..I didn't know this. How about you? Are you also interested?
 
Rejao vipi tena unapoteza ma-golden chance hayo. Kweli nimeamini upele huota kwa asie na kucha.
 
Rejao vipi tena unapoteza ma-golden chance hayo. Kweli nimeamini upele huota kwa asie na kucha.

Nimemuimbia weee, lakini mwenyewe walaaaa!!!!!!!!!!!!
 
Nimemuimbia weee, lakini mwenyewe walaaaa!!!!!!!!!!!!
Hapa nazidi tuu kuutafakari wimbo..naona maneno yanaanza kuniingia!! Sema aliyechukua nafasi yako anakaba huyoo!!!
 
Back
Top Bottom