Pole sana mama...kama umefanya vipimo vyote hivyo na vyote viko normal...inawezekana ni viral septisemia tu ....ambayo inatibiwa na antibiotics....sometimes theatre zetu sio safi sana ndo maana unaweza kupata sepsis kirahisi. Otherwise yaweza pia kuwa ni viral infection ambayo nyingi ni self limiting tu but inabidi utumie dawa za kushusha homa na kuzuia kuharisha.Msaada wa kitabibu,nimejifungua kwa operation wiki mbili zimepita napata homa kali na maumivu makali ya tumbo.pia nnaharisha na kutapika.nimerudi hospitali niliyofanyiwa upasuaji majibu ninayopata hayaridhishi.niliongezewa maji ya uchungu chupa nne ndio wanadai yananifanya hivyo kwahiyo ninywe maji ya kutosha maumivu na homa vitaisha.ila naona hali inazidi kila kukicha wenye utaalamu naomba msaada wenu tafadhali.
Kidonda kimepona na hakuna uchafu wowote zaidi ya normal bleed.malaria na Uti vyote nimepima ni non reactive.
Niko dodoma mkuu
Maziwa yanatoka vizuri na mtoto ananyonya vizuri.hata mimi nilidhani nitapata majibu hayo ya infections ila wamenichanganya zaidi na majibu kuwa dripu za uchungu ndizo zinanifanya hivi.nilijaribu kujifungua kawaida ikashindikana ndio nikawekewa dripu nne pia ikashindikana nikaishia huko kwenye scissor baada ya siku mbili za maumivu makali
Nlienda general mkuu
Nlienda general mkuu