swtlady
Senior Member
- Oct 22, 2013
- 156
- 103
Msaada wa kitabibu,nimejifungua kwa operation wiki mbili zimepita napata homa kali na maumivu makali ya tumbo.pia nnaharisha na kutapika.nimerudi hospitali niliyofanyiwa upasuaji majibu ninayopata hayaridhishi.niliongezewa maji ya uchungu chupa nne ndio wanadai yananifanya hivyo kwahiyo ninywe maji ya kutosha maumivu na homa vitaisha.ila naona hali inazidi kila kukicha wenye utaalamu naomba msaada wenu tafadhali.