brave Mwafrika
JF-Expert Member
- May 2, 2019
- 247
- 135
Kwa uelewa wangu👇
Homa ni kitendo cha joto la mwili kupanda adi nyuzi kadhaa ambayo husababishwa na maradhi kama malaria,typhoid,U.T.I na n.k.
Swali;naitaji kujua kuna aina ngapi za (homa)tofauti na nyuzi joto za mwili kupanda,,,na ni zipi kwa majina.
Homa ni kitendo cha joto la mwili kupanda adi nyuzi kadhaa ambayo husababishwa na maradhi kama malaria,typhoid,U.T.I na n.k.
Swali;naitaji kujua kuna aina ngapi za (homa)tofauti na nyuzi joto za mwili kupanda,,,na ni zipi kwa majina.