Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu Hapa ni Abbas Tarimba, Mbunge wa Kinondoni ambaye hajui hata alipataje Ubunge huo akijikuta kakaa kwenye kijiwe ambacho hata haelewi amefuata nini.
Tarimba anatajwa kuwa ni miongoni mwa Wabunge duni kabisa wa Bunge la Tanzania, ambao ukiacha kuwapa Nauli Washabiki wa Yanga kwenda Uwanjani kushangilia Timu yao, Hakuna lolote analoweza kuwaonyesha Wapiga kura wake ili wamchague tena 2025.
Tarimba anatajwa kuwa ni miongoni mwa Wabunge duni kabisa wa Bunge la Tanzania, ambao ukiacha kuwapa Nauli Washabiki wa Yanga kwenda Uwanjani kushangilia Timu yao, Hakuna lolote analoweza kuwaonyesha Wapiga kura wake ili wamchague tena 2025.