johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Na Chama dume kikamtema 😄..mbunge wa Cuf anaitwa Maulidi, sikumbuki ubini wake.
..lakini ujinga na tamaa zake ndio chanzo cha kupigwa risasi, na kifo cha Aquilina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Chama dume kikamtema 😄..mbunge wa Cuf anaitwa Maulidi, sikumbuki ubini wake.
..lakini ujinga na tamaa zake ndio chanzo cha kupigwa risasi, na kifo cha Aquilina.
Anaendaga sana hata kabla hajawa mbunge enzi za akina Mzee Mwinyihija 😀😀hapo kwenye hicho kijiwe ni kinondoni manyanya pale stand ya kwenda posta, karibu na jengo lake liitwalo tarimba house. kuna mateja kibao hapo alafu wengi wao ni madereva na wapiga debe. hapo kaenda kuzuga na kuwachora wazee njaa kali wa hapo manyanya.
Maulid Mtulia, baada ya kujiuza na muhula wake kwisha, akataka tena kupitia CCM, Akalogwa vibaya sana!..mbunge wa Cuf anaitwa Maulidi, sikumbuki ubini wake.
..lakini ujinga na tamaa zake ndio chanzo cha kupigwa risasi, na kifo cha Aquilina.
Aiseeeee!!hapo kwenye hicho kijiwe ni kinondoni manyanya pale stand ya kwenda posta, karibu na jengo lake liitwalo tarimba house. kuna mateja kibao hapo alafu wengi wao ni madereva na wapiga debe. hapo kaenda kuzuga na kuwachora wazee njaa kali wa hapo manyanya.
Amang'ana GasarikireHatari sana
Anaitwa Maulidi Saidi Mtulia, ndie mbunge wa kwanza kuunga mkono juhudi kwenye utawala wa hayati JPM...mbunge wa Cuf anaitwa Maulidi, sikumbuki ubini wake.
..lakini ujinga na tamaa zake ndio chanzo cha kupigwa risasi, na kifo cha Aquilina.
Mpira na kubet haram sheheHuyu Hapa ni Abbas Tarimba, Mbunge wa Kinondoni ambaye hajui hata alipataje Ubunge huo akijikuta kakaa kwenye kijiwe ambacho hata haelewi amefuata nini.
View attachment 3144282
Tarimba anatajwa kuwa ni miongoni mwa Wabunge duni kabisa wa Bunge la Tanzania, ambao ukiacha kuwapa Nauli Washabiki wa Yanga kwenda Uwanjani kushangilia Timu yao, Hakuna lolote analoweza kuwaonyesha Wapiga kura wake ili wamchague tena 2025.
Inasemekana alisomewa ItikafuAnaitwa Maulidi Saidi Mtulia, ndie mbunge wa kwanza kuunga mkono juhudi kwenye utawala wa hayati JPM.
Anaitwa Maulidi Saidi Mtulia, ndie mbunge wa kwanza kuunga mkono juhudi kwenye utawala wa hayati JPM.
Naomba mnisaidie kujua ni wa wapi wandugu.Akili yangu inaniambia kama moro vile sijui niko sahihi?Huyu Hapa ni Abbas Tarimba, Mbunge wa Kinondoni ambaye hajui hata alipataje Ubunge huo akijikuta kakaa kwenye kijiwe ambacho hata haelewi amefuata nini.
View attachment 3144282
Tarimba anatajwa kuwa ni miongoni mwa Wabunge duni kabisa wa Bunge la Tanzania, ambao ukiacha kuwapa Nauli Washabiki wa Yanga kwenda Uwanjani kushangilia Timu yao, Hakuna lolote analoweza kuwaonyesha Wapiga kura wake ili wamchague tena 2025.
Hakuwa na ushawishi wowote, alibebwa na UKAWA tu..hivi yuko wapi Maulidi Mtulia?
..kwanini hajapewa cheo chochote na Ccm?
Basi hapa na mazezeta watawapigia kuraHuyu Hapa ni Abbas Tarimba, Mbunge wa Kinondoni ambaye hajui hata alipataje Ubunge huo akijikuta kakaa kwenye kijiwe ambacho hata haelewi amefuata nini.
View attachment 3144282
Tarimba anatajwa kuwa ni miongoni mwa Wabunge duni kabisa wa Bunge la Tanzania, ambao ukiacha kuwapa Nauli Washabiki wa Yanga kwenda Uwanjani kushangilia Timu yao, Hakuna lolote analoweza kuwaonyesha Wapiga kura wake ili wamchague tena 2025.
Uchaguzi wa mwaka 2025, hakuna kubahatisha. Uchaguzi wa 2020 kuna wabunge waliokota embe dodo kwenye miti ya michongoma.Kinondoni tangu atoke Bryson haijawahi kupata Mbunge wa maana kabisa
Msakandeo, Kabisa, Ngula, yule ndugu wa Zungu Akaja yule wa CUF sasa kaingia Mzee wa Michezo ya kubahatisha 😂wakamk Kwenye ubunge hakuna kubahatisha
Ubini wake ulikuwa kama siyo ”Mtulia” basi ni “Mtilila”..mbunge wa Cuf anaitwa Maulidi, sikumbuki ubini wake.
..lakini ujinga na tamaa zake ndio chanzo cha kupigwa risasi, na kifo cha Aquilina.
Kuna hali ya wananchi kuchoka yanayoendelea,na tume hii hii ya uchaguzi inayoamrishwa moja kwa moja na samia kunaweza kusiwe na jipyaUchaguzi wa mwaka 2025, hakuna kubahatisha. Uchaguzi wa 2020 kuna wabunge waliokota embe dodo kwenye miti ya michongoma.
Wewe endelea ku-mwisho mwampamba ndio utajua kama idris alipata pesaWee acha uongo ! Tarimba ni bonge la mbunge tatizo mmezoea wale wanao sema ovyo kama msukuma ndo mana.Tarimba hata akiongea ni mwendo wa kutema madni tu na sio porojo kama za kina musukuma
Haa Dini Yake Inasema Kamari HaramMzee wa Kubetisha 🐼