Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
-
- #2,001
Milans two biggest giants could be set for another transfer showdown as former Fiorentina stars Stevan Jovetic and Matija Nastasic have caught the attention of both clubs.
Saizi mmeshapotea kwenye ramani ya soka rasmi sabb sajl zenu za ovyo kocha wenu wa ovyoo saizi mmebaki wazee wa historia tu
ok...
subiri ftari sasa.
Krbu Liverpool mkuu naona uku utazeeka paso sabb y msngi
liverfool hio ambayo striker wake ni Balotelli?
Balotelli c alkua mungu mtu uko kwenu ac Milan tumewapola saizi mnalialia tu lkn kwetu ni muosha viti pale bench hahaha hahaha krbu kwetu yan nmeshangaa mbaka mbka James martinez anawakataa daah mnatia huruma ac milan
ahah hah hah hah we kweli huijui Milan...
walikuwapo akina Van Barsten, Masaro, Boban, Ancelotti, Baggio, Bierholf, Africans can King Opong George Weah, Sheva, na Pippo Inzaghi...je kuna wa kufanana na Balotelli hapo?
Na nyie liva mbona mnatia huruma tu!!Mambo ya kale ayo lkn hali yenu ya krbuni mlitoa machozi kumsii Mario abaki ac
Na nyie liva mbona mnatia huruma tu!!
Yaani mwenye busha anamcheka mwenye ngiri!!
Cc bado washndan lkn ndgu zangu ac Milan wako hoi
mnafarijiana wanyonge